Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,087
Habari wadau,
Jana nimepata wakati mgumu sana ambao sijawahi kushuhudia kabla, pale nilipofika nyumbani kwangu nikiwa salama salmini,lakini cha kushangaza hali ilibadilika ghafla na kuwa nusu kifo.
Nilipigwa na giza nene ambalo sikujua limetoka wapi nikaanza kuhisi kizunguzungu na maumivu makali sana ya kichwa ambayo hayajawi kunipata!
Nilivumilia mpaka asubuhi ya leo tarehe 15/07 ndipo nilipowahi hospital na baada ya kufanyiwa vipimo vyote nimegundulika nina tatizo la BP ya kupanda, Daktari ameniambia hata hivyo ni bahati kufika asubuhi nikiwa hai, nimeshtuka sana.
Je, wadau nifanye nini ku-control hili tatizo? Na chanzo chake huwa ni nini?
Nawasilisha
Jana nimepata wakati mgumu sana ambao sijawahi kushuhudia kabla, pale nilipofika nyumbani kwangu nikiwa salama salmini,lakini cha kushangaza hali ilibadilika ghafla na kuwa nusu kifo.
Nilipigwa na giza nene ambalo sikujua limetoka wapi nikaanza kuhisi kizunguzungu na maumivu makali sana ya kichwa ambayo hayajawi kunipata!
Nilivumilia mpaka asubuhi ya leo tarehe 15/07 ndipo nilipowahi hospital na baada ya kufanyiwa vipimo vyote nimegundulika nina tatizo la BP ya kupanda, Daktari ameniambia hata hivyo ni bahati kufika asubuhi nikiwa hai, nimeshtuka sana.
Je, wadau nifanye nini ku-control hili tatizo? Na chanzo chake huwa ni nini?
Nawasilisha