Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
kichwa cha habari kimeeleza vema, maelezo pia yameeleza vema lakini watu kama nyie mmeshindwa kuelewa, somo la ufahamu lizingatiwe sana.Hakuna wallet inayoweza kuhifadhi kiasi hicho cha pesa. Millioni 45 labda mkoba.
Tenda wema nenda zako usingoje shukran. Mwenye kutenda mema atalipwa kwa kutendewa memaShida unaweza ukawa mwema kuripoti police ukadakwa wwe kesi ikabakia kwako.
Jamaa yangu juzi kaokota simu ya million moja mwenye simu akampigia kapokea akampa maelekezo alipo mwenye simu alipofika kesho yake kuchukua simu yke hata kusema neno Asante au kumuachia jamaa hata teni kapiga kimya.
😀😀😀Universe imekupa hela ya chai na wewe unataka kurudisha? Haya.
Hv huo mnasoma siredi vzr au huo mnakurupuka kuchangia bila kusoma?Wallet inakuwaje na mil 10?umeiokotea wapi ,katika mazingira gani?ni wewe tu umeiona?kama kweli msamalia mwema peleka polisi
Nimeokota wallet Ina pesa 50k ila ina receipts ya miamala ya 45m na 10m
Tarehe ni siku niliookota, ndani Kuna id za bima nk
Naofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake,!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo
Naombeni ushauri
Wewe ujamuelewaUna huakika umesoma alichoandika kweli?
Kwa nini akubambikie kesi kwani hizo risiti za hiyo miamala ya 45m na 10m zina majina yako? Ndio aseme hela zimeenda kwenye akaunti zako? Acha woga riport kituo chochote cha polisi kilicho karibu nawe. Tena huenda akakupatia donge nono kuliko hiyo 50K unayotaka kuipiga. Pengine hizo risiti zina umuhimu kwake kuliko hata hiyo 50K iliyoko kwenye hiyo pochi uliyoiokotaNimeokota wallet Ina pesa 50k ila ina receipts ya miamala ya 45m na 10m
Tarehe ni siku niliookota, ndani Kuna id za bima nk
Naofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake,!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo
Naombeni ushauri
Na we naeWallet inakuwaje na mil 10?umeiokotea wapi ,katika mazingira gani?ni wewe tu umeiona?kama kweli msamalia mwema peleka polisi
Nature of universe be au siyo 🤣Universe imekupa hela ya chai na wewe unataka kurudisha? Haya.
Ndiyo mkuu😁Eeeeeh riziki kugawana
Potezea tuNimeokota wallet Ina pesa 50k ila ina receipts ya miamala ya 45m na 10m
Tarehe ni siku niliookota, ndani Kuna id za bima nk
Naofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake,!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo
Naombeni ushauri
Yaani ajipeleke polisi unachukulia simple vp kama huyo aliepoteza alikufa au aliuwawaNenda polisi Mkuu waambie wampigie simu muhusika aje kuchukua vitu vyake achukulie hapo polisi. Ila polisi usiwaachie wenyewe hiyo wallet na wao ni binadamu kama kweli una nia ya kumrudishia basi wampe muhusika ukiwepo
Daah kweliYaani ajipeleke polisi unachukulia simple vp kama huyo aliepoteza alikufa au aliuwawa
kesi hiyo!