Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Huu ni sawa na wizi na unajitia unajisi kwa pesa za mboga. Labda pasiwe na uwezekano wa kumpata mwenye nayo. Kumbuka pia uaminifu ni mtaji.Sawa nashukuru sana baba ushauri mzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni sawa na wizi na unajitia unajisi kwa pesa za mboga. Labda pasiwe na uwezekano wa kumpata mwenye nayo. Kumbuka pia uaminifu ni mtaji.Sawa nashukuru sana baba ushauri mzuri sana
Nikupe mavitambulisho umpe?Huu ni sawa na wizi na unajitia unajisi kwa pesa za mboga. Labda pasiwe na uwezekano wa kumpata mwenye nayo. Kumbuka pia uaminifu ni mtaji.
Kwani transcation ni cash. Kasema risiti ya mihamala. Sasa hapl unashindwa kuelewa nini? Nyie ndio mlikuwa mnafeli mitihani kizembe kabisa.Hamna mshikaji yupo sahihi kabisa kulingana na maelezo ya mtoa mada.
Mtoa mada anasema anaogopa kwenda kuripot polis eti kwasababu mwenye wallet anaweza kusema palikuwa na pesa nyingi humo kwenye wallet kutokana zile risit zinazononesha transactions za milioni 45 na million 10.
Sasa jamaa ndio kamjibu hiyo itakuwa wallet ya ainagani iwe na kiasi chote hicho Cha fedha,mwishonI kamshauri kama ni msamalia mwema aende tu polisi akaripoti maana ni ngumu hiyo miela kuwa kwenye wallet[emoji851]
WATU MNAMKOSOA JAMAA KWA COMMENT YAKE KUWA HAJASOMA KWA UFAHAMU ILA SIO KWELI JAMAA YUPO SAHIHI,SASA SIJUI NANYIE HAMJASOMA KWA UFAHAMU COMMENT YAKE AU NA MIMI NIMEINGIA CHAKA[emoji23]
CCTV camera.Asijaribu ye atoe hiyo Hela li pochi ampe boda muhuni akalitupe karibu na kituo Cha polisi imeisha hiyo
Tupa kila kitu kilicho ndani we ondoka na wallet tuNimeokota wallet ina pesa kiasi cha elf 50,000 ila ina risiti ya miamala ya Milioni 45 pamoja na Milioni 10m. Tarehe ni siku niliookota, ndani kuna pia kitambulisho cha bima, nk.
Nahofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo.
Naombeni ushauri.
Duh! Mwenye uoni hafifu anamwelekeza aonaye sawasaw.Kwani transcation ni cash. Kasema risiti ya mihamala. Sasa hapl unashindwa kuelewa nini? Nyie ndio mlikuwa mnafeli mitihani kizembe kabisa.
Nikuulize wewe kuna wallet inaweza kuwa na milioni 10 za kitanzania? ?Hamna mshikaji yupo sahihi kabisa kulingana na maelezo ya mtoa mada.
Mtoa mada anasema anaogopa kwenda kuripot polis eti kwasababu mwenye wallet anaweza kusema palikuwa na pesa nyingi humo kwenye wallet kutokana zile risit zinazononesha transactions za milioni 45 na million 10.
Sasa jamaa ndio kamjibu hiyo itakuwa wallet ya ainagani iwe na kiasi chote hicho Cha fedha,mwishonI kamshauri kama ni msamalia mwema aende tu polisi akaripoti maana ni ngumu hiyo miela kuwa kwenye wallet🤓
WATU MNAMKOSOA JAMAA KWA COMMENT YAKE KUWA HAJASOMA KWA UFAHAMU ILA SIO KWELI JAMAA YUPO SAHIHI,SASA SIJUI NANYIE HAMJASOMA KWA UFAHAMU COMMENT YAKE AU NA MIMI NIMEINGIA CHAKA😂
alivyo comment huyo jamaa hapo juu, amechekesha sana. Habari ni fupi tu ila hasomi anakimbilia ku comment. Wasahihisha mitihani huwa wana kazi sana.Una huakika umesoma alichoandika kweli?
Risiti za miamala,mkisoma mfumbue macho.Wallet inakuwaje na mil 10?umeiokotea wapi ,katika mazingira gani?ni wewe tu umeiona?kama kweli msamalia mwema peleka polisi
HapanaNikuulize wewe kuna wallet inaweza kuwa na milioni 10 za kitanzania? ?
Wewe ni CIA au FBI umeongea fact sana natupa chooniToa hizo fedha katumie,wallet usiitupe tayari ina fingerprint zako,kaitupie chooni au choma.
Usiende polisi
Usiende polisi
Usiende polisi
Sawa shukranBora ulivyoshtuka muhimu hapo toa elfu 50 vingine tupia korongoni endelea na maisha yako..!! Binadamu hatuna jema hachelewi kukupa kesi ya wizi.!
Kwani transcation ni cash. Kasema risiti ya mihamala. Sasa hapl unashindwa kuelewa nini? Nyie ndio mlikuwa mnafeli mitihani kizembe kabisa.
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo.Na we nae
Uliona wapi mbuzi yuko mfukoni?
Kweli umesoma alichoandika
sahihi kabisa
Sawa transactions siyo pesa ya mkononi ila msome mleta mada afu useme anazihofia pesa zipi zinazoweza zusha kesi kiasi hashindwe kuripoti polisi?
Nimeokota wallet ina pesa kiasi cha elf 50,000 ila ina risiti ya miamala ya Milioni 45 pamoja na Milioni 10m.
Nahofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo.
Ushauri wa jamaa.
Wallet inakuwaje na mil 10?umeiokotea wapi ,katika mazingira gani?ni wewe tu umeiona?kama kweli msamalia mwema peleka polisi.
Nilichoelewa ni kuwa jamaa anampa ushauri wa kumtoa hofu mleta mada Ili afanye jambo la kupeleka kituo Cha polisi hizo Mali alizo okota maana itakuwa ngumu kuaminika kuwa wallet inaweza kubeba fedha anazohofia kubambikiwa kuwa amezipoteza.
Sasa hapo mleta mada anahofia fedha gani kama sio hizo zinazoonekana kwenye risiti na bila shaka mleta mada anamanisha miamala/transactions kuwa nipesa zilizotolewa ATM
Nina maanisha kwamba, kama Ile receipt iliambataana na hizo pesa nikiwa na maana zimetolewa kwaiyo kama zilikuwa kwenye bag na ndani ya bag Kuna wallet nahisi itakuwa rahis kusema nimeibiwa pesa nyingi Zaidi kwasababu iyo wallet ilikuwa kwenye bag lenye pesa mana nilikuwa nimetoa pesa na receipts zote zipo kama ushahidi.
Sawa transactions siyo pesa ya mkononi ila msome mleta mada afu useme anazihofia pesa zipi zinazoweza zusha kesi kiasi hashindwe kuripoti polisi?
Nimeokota wallet ina pesa kiasi cha elf 50,000 ila ina risiti ya miamala ya Milioni 45 pamoja na Milioni 10m.
Nahofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo.
Ushauri wa jamaa.
Wallet inakuwaje na mil 10?umeiokotea wapi ,katika mazingira gani?ni wewe tu umeiona?kama kweli msamalia mwema peleka polisi.
Nilichoelewa ni kuwa jamaa anampa ushauri wa kumtoa hofu mleta mada Ili afanye jambo la kupeleka kituo Cha polisi hizo Mali alizo okota maana itakuwa ngumu kuaminika kuwa wallet inaweza kubeba fedha anazohofia kubambikiwa kuwa amezipoteza.
Sasa hapo mleta mada anahofia fedha gani kama sio hizo zinazoonekana kwenye risiti na bila shaka mleta mada anamanisha miamala/transactions kuwa nipesa zilizotolewa ATM