- Thread starter
- #101
Natamani kupata namba Yako nikupe Walau vocha kwa ushauri mzuri tatizo hela imeshaisha😂Cha kuokota sio cha kuiba mkuu.
Tumia hio Fedha kiasi kwa kuwasaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu inayobaki fanyia mambo yako.
Hapo utakua umejitakasa kwa sababu ukiirudisha unaweza kubambikiziwa kesi nzito kama ukabaji ama kuvunja na kuiba