Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wanabodi,
Katika angaika angaika yangu, nimefanikiwa kupata Milioni 10 (kumi) taslimu. Kiukweli sijawahi kupata pesa kama hii kwa mkupuo maishani mwangu pamoja na kwamba nina 42 years now. Ni miujiza.
Sitaki niicheleweshe maana matatizo ni mengi sana mtaani.
Supu ya Mbweha huliwa ikiwa ya moto.
Naombeni ushauri wa biashara ya kufanya ambayo itanisaidia kwenye maisha (SIYO SEKTA YA KILIMO maana ninalima tayari).
Nipo Korogwe Mjini hapa Tanga.
Nimewaza haya machache kwa haraka haraka:-
1. Kufungua Duka la Dawa baridi za binadamu
2. Kununua bodaboda 6
3. Kufungua hardware (Duka la Vifaa vya Ujenzi / Umeme)
4. Kufungua duka la Pembejeo za Kilimo (Madawa ya Kilimo / Mifugo n.k )
5. Kununua Hiace used
6. Kufungua duka la vipodozi
Asante wadau
Katika angaika angaika yangu, nimefanikiwa kupata Milioni 10 (kumi) taslimu. Kiukweli sijawahi kupata pesa kama hii kwa mkupuo maishani mwangu pamoja na kwamba nina 42 years now. Ni miujiza.
Sitaki niicheleweshe maana matatizo ni mengi sana mtaani.
Supu ya Mbweha huliwa ikiwa ya moto.
Naombeni ushauri wa biashara ya kufanya ambayo itanisaidia kwenye maisha (SIYO SEKTA YA KILIMO maana ninalima tayari).
Nipo Korogwe Mjini hapa Tanga.
Nimewaza haya machache kwa haraka haraka:-
1. Kufungua Duka la Dawa baridi za binadamu
2. Kununua bodaboda 6
3. Kufungua hardware (Duka la Vifaa vya Ujenzi / Umeme)
4. Kufungua duka la Pembejeo za Kilimo (Madawa ya Kilimo / Mifugo n.k )
5. Kununua Hiace used
6. Kufungua duka la vipodozi
Asante wadau