Ukihitaji Mpesa na Airtel Money till nnazoasante mkuu.
Mchakato kisajili line unagharimu sh ngapi na viambata vyake ni vipi?
NI kweli kabisa.Ukiwaza ishu hiyo huwezi kuifanya hii biashara
Hivi punde,
Bodaboda yalipa sana ila weka GPRS mapema usije kufa na presha
Namba 5 acha usijaribu ni kucheza na shilingi chooni.bodaboda nayo acha.Kwa uzoefu Wangu katu usifanye biashara ambayo wwe ushiriki yaani unaajiri mtu mwingine ndio akuletee Pesa mfano daladala bodaboda utamfaidisha yeye watu si waaminifu.Pia usiiweke kwenye kilimo kilimo ni kamari betting,fanya biashara utakayokuwa unauza au shika hela mwenyewe yaani uwepo mda woteWanabodi,
Katika angaika angaika yangu, nimefanikiwa kupata Milioni 10 (kumi) taslimu. Kiukweli sijawahi kupata pesa kama hii kwa mkupuo maishani mwangu pamoja na kwamba nina 42 years now. Ni miujiza.
Sitaki niicheleweshe maana matatizo ni mengi sana mtaani.
Supu ya Mbweha huliwa ikiwa ya moto.
Naombeni ushauri wa biashara ya kufanya ambayo itanisaidia kwenye maisha (SIYO SEKTA YA KILIMO maana ninalima tayari).
Nipo Korogwe Mjini hapa Tanga.
Nimewaza haya machache kwa haraka haraka:-
1. Kufungua Duka la Dawa baridi za binadamu
2. Kununua bodaboda 6
3. Kufungua hardware (Duka la Vifaa vya Ujenzi / Umeme)
4. Kufungua duka la Pembejeo za Kilimo (Madawa ya Kilimo / Mifugo n.k )
5. Kununua Hiace used
6. Kufungua duka la vipodozi
Asante wadau
Vijana wa bodaboda pasua kichwa.labsa umpe mkataba baada ya hapo ni yake ndio ataitunza!Hivi punde,
Bodaboda yalipa sana ila weka GPRS mapema usije kufa na presha
Mpesa utaniuzia shilingi ngapiUkihitaji Mpesa na Airtel Money till nnazo
mimi nilizipata kama hizo 2015, nikafungua ofisi za miamala, m pesa, tigpesa, a money etc,
Sasa hivi nipo mbali sana. Nimezalisha mara 6 ya hizo
umefungua ofisi ngapi? Mpesa, Tigopesa yapaswa kuwa back-up business alongside other good businessmimi nilizipata kama hizo 2015, nikafungua ofisi za miamala, m pesa, tigpesa, a money etc,
Sasa hivi nipo mbali sana. Nimezalisha mara 6 ya hizo
Naombeni mnisaidie utaratibu wa kupata super agent please, naambiwa ina commission kubwa zaidSure hata me imenitoaa sanaa
Ni GPS sio GPRSHivi punde,
Bodaboda yalipa sana ila weka GPRS mapema usije kufa na presha