Ushauri: Nimetofautiana kauli na mama yangu mzazi

Ushauri: Nimetofautiana kauli na mama yangu mzazi

emavalery

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
628
Reaction score
1,243
Hello JF Members,

Nimekuja kidogo na channgamoto ya kifamilia, ukweli napitia kipindi kigumu sana kifedha imeleta changamoto nyingi sana kwa upande wa maelewano na mzazi haswa mama..ikafikia anasema ni bora angetoa mimba yangu.

Nika very frustrated na kauli yake nikamjibu vibaya pia, ila kila mmoja bado anasema nimekosea..ningekaa kimya na nyuma ya yote naona anayekutamkia hayo ni kuwa hauna lolote na hata kuwa kwako hai hana amani na uhai wako.

Naambiwa ningevumilia, nisijibu sababu alibeba mimba miezi tisa, naombeni ushauri...ukiwa na hisia za kidini sawa na pia uwe na hisia za kidunia pia

Naombeni ushauri wakuu
 
Unaishi nae?

Kama hauishi nae ikiwezekana kaa nae mbali mbali sana.

Inauma yes

Ila kaza roho.

Msamehe kwa amani ya moyo wako.

Kaa nae mbali sana.

Usimshirikishe mambo yako.

Ishi kama hayupo.

Inawezekana Ana maumivu yake huko anayashusha kwako kama chanzo( eg labda mimba ilikataliwa. Au aliumizwa na baba yako. Au alikatiza ndoto zake sababu ya ujauzito wako nk nk nk)
 
Sometimes huwa wanaboa Sana lakini Jambo la kufanya Ni kuomba msamaha yaishe baada ya hapo usipende kuwa karibu nae kwa muda mrefu.

Tafuta Wazee wawili watatu wakupatanishe nae ili maisha yasonge.
 
Pole Sana
Usingemjibu..ungekausha tu..fanya toba..muombe msamaha ..omba amani ya moyo wako na umuombee Mama yako.
 
siishi nae
Unaishi nae?


Kama hauishi nae ikiwezekana kaa nae mbali mbali sana.

Inauma yes

Ila kaza roho.

Msamehe kwa amani ya moyo wako.

Kaa nae mbali sana.

Usimshirikishe mambo yako.

Ishi kama hayupo.


Inawezekana Ana maumivu yake huko anayashusha kwako kama chanzo( eg labda mimba ilikataliwa. Au aliumizwa na baba yako. Au alikatiza ndoto zake sababu ya ujauzito wako nk nk nk)
Siishi nae, na maisha yangu nimekulia na bibi tu
 
Sometimes huwa wanaboa Sana lakini Jambo la kufanya Ni kuomba msamaha yaishe baada ya hapo usipende kuwa karibu nae kwa muda mrefu.

Tafuta Wazee wawili watatu wakupatanishe nae ili maisha yasonge.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nashukuru, itabidi nifanye hivyo ana kwa ana yaishe niendelee kujitenga nae...
 
Unaishi nae?


Kama hauishi nae ikiwezekana kaa nae mbali mbali sana.

Inauma yes

Ila kaza roho.

Msamehe kwa amani ya moyo wako.

Kaa nae mbali sana.

Usimshirikishe mambo yako.

Ishi kama hayupo.


Inawezekana Ana maumivu yake huko anayashusha kwako kama chanzo( eg labda mimba ilikataliwa. Au aliumizwa na baba yako. Au alikatiza ndoto zake sababu ya ujauzito wako nk nk nk)
Huwa nina changamoto hii niliamua kukaa kimya. Sijibu chochote. Ukimpa kitu hata asante hakuna. But I don't care
 
Usipopendwa na mama ndivyo ilivyo...we unadhani kwann MTU anazaa anatupa ni sababu hakukupenda tangu ungali tumbon.Laana toka kwa wazazi wa kisasa zilishakufaga yaan hakuna laana labda mwenyewe ujichanganye kimaisha.Fanya yako achana nae...tunaumizwaga lakini wanetu hatuwachukii katu.
 
Pole mkuu, huyo ni mama jikaze na muombe msamaha wa dhati kisha endelea na maisha yako!

Pamoja na kujitenga nae uwe unamjulia hali pia, wakati mwingine wazazi huwa wanatoa machungu yao kwa watoto wao kutokana na masahibu waliyopitia, yeye ni mzazi jishushe
 
Wazazi ndiyo Mungu wa duniani. Kaa kimya usibishane na mzazi
 
Back
Top Bottom