Ushauri: Nimetofautiana kauli na mama yangu mzazi

Ushauri: Nimetofautiana kauli na mama yangu mzazi

Namimi niliwai kutamkiwa kauli kama yako ametuzaa tupo sita kwa baba mmoja.sasa titizo lake alikua anampenda sana mdogo wangu alienifuata Mimi ni wa kwanza.wadogo zangu watatu walikua hawataki shule.sasa mm namshukulu mungu ingawa nilisoma kwa tabu lakini niliweza kumaliza chuo kwa uwezo binafsi tu.kimbembe nilipokua nasubilia ajila hapo nilikua natukanwa hadhalani nikimuuliza nimekukosea nn hasemi.

Baba angu na wazee wengine walinishauri niende mbali na nyumbani.nikatoka nikaenda mkoa flan nikawa napiga mishe kitaa badae nikaajiliwa huu nimwaka wanne sijawai ongea na mama angu na yeye hajawainitafuta na hajui kama niliajili madogo walionifuata wanamsumbua balaa
 
Namimi niliwai kutamkiwa kauli kama yako ametuzaa tupo sita kwa baba mmoja.sasa titizo lake alikua anampenda sana mdogo wangu alienifuata Mimi ni wa kwanza.wadogo zangu watatu walikua hawataki shule.sasa mm namshukulu mungu ingawa nilisoma kwa tabu lakini niliweza kumaliza chuo kwa uwezo binafsi tu.kimbembe nilipokua nasubilia ajila hapo nilikua natukanwa hadhalani nikimuuliza nimekukosea nn hasemi.
Baba angu na wazee wengine walinishauri niende mbali na nyumbani.nikatoka nikaenda mkoa flan nikawa napiga mishe kitaa badae nikaajiliwa huu nimwaka wanne sijawai ongea na mama angu na yeye hajawainitafuta na hajui kama niliajili madogo walionifuata wanamsumbua balaa
Duuuh mama wengine vichomi kweli[emoji848][emoji848][emoji849][emoji849]
 
Hello JF Members,

nimekuja kidg na channgamoto ya kifamilia, ukweli napitia kipindi kigumu sana kifedha imeleta changamoto nyingi sana kwa upande wa maelewano na mzazi haswa mama..ikafikia anasema ni bora angetoa mimba yangu..

nika very frustrated na kauli yake nikamjibu vibaya pia, ila kila mmoja bado anasema nimekosea..ningekaa kimya na nyuma ya yote naona anayekutamkia hayo ni kuwa hauna lolote na hata kuwa kwako hai hana amani na uhai wako.

naambiwa ningevumilia, nisijibu sababu aiibeba mimba miezi tisa, naombeni ushauri..ukiwa na hisia za kidini sawa na pia uwe na hisia za kidunia pia

naombeni ushauri wakuu
Your mom is controlling and self absorbed .Cut her off be independent .Ni mama ila ni binadamu
 
Hello JF Members,

nimekuja kidg na channgamoto ya kifamilia, ukweli napitia kipindi kigumu sana kifedha imeleta changamoto nyingi sana kwa upande wa maelewano na mzazi haswa mama..ikafikia anasema ni bora angetoa mimba yangu..

nika very frustrated na kauli yake nikamjibu vibaya pia, ila kila mmoja bado anasema nimekosea..ningekaa kimya na nyuma ya yote naona anayekutamkia hayo ni kuwa hauna lolote na hata kuwa kwako hai hana amani na uhai wako.

naambiwa ningevumilia, nisijibu sababu aiibeba mimba miezi tisa, naombeni ushauri..ukiwa na hisia za kidini sawa na pia uwe na hisia za kidunia pia

naombeni ushauri wakuu
Give her silence treatment to
 
siishi nae

siishi nae, na maisha yangu nimekulia na bibi tu
Ndio umuepuke.

Usimshirikishe mambo yako.

Ingawa inaumiza kuna wakati unahitaji tu tulizo la mama ila kuliko kuumiza roho bora jikaze

Asijue maisha yako kabisa

Asijue ndoto zako

Asijue maendeleo yako

Msaidie akiwa alipo kama ataukubali huo msaada

Samehe upate amani, ila ishi kama mtu asiye na mama
 
Mi hata sikushauri kuomba msamaha sijajua ulimwambia neno gani la kuudhi ila haijalishi yeye ni Mkubwa kwako alitakuwa kuonyesha busara hayo yote yasingetokea.

Anza upya kwa kufuta akilini kuwa una mama mpotezee mazima hata msaada usimtumie wa nini sasa Kama ana chuki kubwa hivyo kwako??

Ikitoa akakutafuta huko mbeleni unatambaa na bit tu uone mwisho wa chuki zake kwako zitaishia wapi, nadhani unamnyenyekea na kumjali kupita kiasi so anatumia udhaifu huo kukunyanyasa.

Mi Nina mzee wangu mwaka wa 17 huu anaishia kuulizia kwa ndugu naendelea vipi haamini Kama nimeweza kuishi bila msaada wake au yeye na laana sijaiona mpaka leo
 
watu mponkuwatetea wazazi tu, kama vile hao wazazi sio binadamu na awakosei

mzazi ni binadamu na anakosea sana sana tu kwa mtoto alafu mbaya zaidi kwa utamaduni wetu wa kitanzania mzazi akikosema ni nadraa sana kumuomba msamahaa mwanae mwaisho mtoto ndio anakuwa mtu wa kuomba misamaha kila siku

wazazi ususani mama.. ni watu wanakuaga na siri zao kuhusu mtoto wake, mama hawezi kukuchukia tu bila sababu, ukiona kuna chuki tena ya kumtukana kabisa mwanae ujue mazazi (mama) ana madude yake moyoni

sababu zipo nyingi za mzazi kumchukia mtoto,
1. labda mtoto hakuwa wa malengo yake
2. labda baba mtoto alimtelekeza mtoto mama akabaki na chuki za mumewake mpaka kwa mtoto
3. mnaweza mkawa mmezaliwa hata 7 lakini wewe ukachukiwa kwasababu baba yako sio mmoja na hao ndugu zako wengine
4.labda wewe sio mtoto wake wa damu lakini huyo mama alikulea tu na siri anaijua mwenyewe

sababu za chuki kutoka kwa mama zipo nyingi lakini sababu kuu ni USIRI WA WANAWAKE kuhusu uyo mtoto wake

mwisho, ebu tuachana na hizi akili za kijinga jinga sijui mzazi ni mungu, mzazi ana laana, mzazi bla bla kibao kama vile huyo mzazi akosei na awezi kukosolewa

tuwaheshimu wazazi wetu na tuwapende lakini tusisite kuwalekebisha wakikosea au tubaki na misimamo yetu kipindi wakienda chaka.
 
Namimi niliwai kutamkiwa kauli kama yako ametuzaa tupo sita kwa baba mmoja.sasa titizo lake alikua anampenda sana mdogo wangu alienifuata Mimi ni wa kwanza.wadogo zangu watatu walikua hawataki shule.sasa mm namshukulu mungu ingawa nilisoma kwa tabu lakini niliweza kumaliza chuo kwa uwezo binafsi tu.kimbembe nilipokua nasubilia ajila hapo nilikua natukanwa hadhalani nikimuuliza nimekukosea nn hasemi.
Baba angu na wazee wengine walinishauri niende mbali na nyumbani.nikatoka nikaenda mkoa flan nikawa napiga mishe kitaa badae nikaajiliwa huu nimwaka wanne sijawai ongea na mama angu na yeye hajawainitafuta na hajui kama niliajili madogo walionifuata wanamsumbua balaa
Pole sana dah inasikitisha
 
ASANTE
watu mponkuwatetea wazazi tu, kama vile hao wazazi sio binadamu na awakosei

mzazi ni binadamu na anakosea sana sana tu kwa mtoto alafu mbaya zaidi kwa utamaduni wetu wa kitanzania mzazi akikosema ni nadraa sana kumuomba msamahaa mwanae mwaisho mtoto ndio anakuwa mtu wa kuomba misamaha kila siku


tuwaheshimu wazazi wetu na tuwapende lakini tusisite kuwalekebisha wakikosea au tubaki na misimamo yetu kipindi wakienda chaka.
KWA USHAURI
 
Pole sana kwa changamoto fanya juu chini umuombe msamaha jitahidi kuwa naye mbali ukipata hela usiache kumsaidia, kila lakheri.
 
Back
Top Bottom