mdogo wangu umekwisha
labda uende ualimu diploma. Kwa chuo kikuu GS ndo kila ktu. Ndo kama
nauli hata upendeze vp kama huna nauli utabak stend. Ukifeli gs kwa
sheria na kanuni za TCU na vyuo vikuu haukubaliki. Jpange urisit gs au
vngnevyo nenda diploma.
Acha kumzubaisha bwana mdogo, Gs si kitu kwa sasa, kuna wadau wapo Udsm wana F za Gs na wanapiga kama kawa.....labda kwa upande wa Law inaweza kua tatizo....though huyo bwana mdogo wa Udsm anasoma Law enforcement........kwa dogo usisite principle unazo unaruhusiwa kuingia university na Hongera sana.....
mdogo wangu umekwisha labda uende ualimu diploma. Kwa chuo kikuu GS ndo kila ktu. Ndo kama nauli hata upendeze vp kama huna nauli utabak stend. Ukifeli gs kwa sheria na kanuni za TCU na vyuo vikuu haukubaliki. Jpange urisit gs au vngnevyo nenda diploma.