Jaman samahan xana kwa usumbufu lakin naomba mnishaur mimi ndoto zangu zote nsome mambo ya LAW katika ngaz ya Degree na matokeo yangu ni
HISTORY-D
GEOGRAPHY-D
E/LANGUAGE-D
GS-F
Sasa hii F ndo yanikatsha tamaa kabsa...hivi ni kwel ninaweza kukubaliwa kusoma FACULTY YA LAW???
HISTORY-D
GEOGRAPHY-D
E/LANGUAGE-D
GS-F
Sasa hii F ndo yanikatsha tamaa kabsa...hivi ni kwel ninaweza kukubaliwa kusoma FACULTY YA LAW???