Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Kweli na nilivyo mbishi sikimbii mtu mie. Jion njema pia my dear
 
duh na kucheat tayari.......wanakufikisha??...namuone huruma mmeo..
 
Angalia sana vyakula unavyokula dada, vyakula ni kila kitu
 
Kunywa soda naja lipa mpenzi
 
Hayo nimeyafanya

Naomba maombi yako yatimie

Mie huko pm wala sihangaiki nao waache wajinadi tu

Gym nimeshindwa nikiwaangalia wakaka wanavyofanya mazoezi napata mfadhaiko

Ila kuna ushauri wa kwenda hospital nimeupata nitaufanyia kazi.
 
Ni wewe au????
Sio kwa kufunguka huko!!! Inabidi nikuvue uenyekiti
 
Hahahaha eti kundi la watakatifu aiseee yaan mtu ujiachie kukoment na kutoa mawazo yako from nowhere unaanza kashfiwa na kubadilishiwa maneno. Mwee mwee mweee(in senga's voice)
Nawapendaga tu mjue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…