ngaribazezeta
Member
- Dec 11, 2017
- 82
- 47
DuhUngenipata mim ningekupa wiki mfululizo, kakamega inalala umo umo ndani mpaka ungechenj usanem kutoka honeti mpaka enough
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhUngenipata mim ningekupa wiki mfululizo, kakamega inalala umo umo ndani mpaka ungechenj usanem kutoka honeti mpaka enough
Hahahaaa. Umeonaeeeee.Na penye kupinga tutapinga tu aiseee. Hahahaa.
Hakuna mtoto wa Chekechea au Primary humu eti kwamba aongozwe nini aandike. Uwe na jioni njema mwaya sababu sio kwa kucheka huku leo.
Ila wacha jf iitwe jf. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaa. Sitaki mieee. Hebu wacha kunichekesha ujue utavunja mbavu za yule mtakatifu. Teh teh teh teh.Kweli na nilivyo mbishi sikimbii mtu mie. Jion njema pia my dear
Miss you more mremboI miss you
Duniani kuna mambo huyo hana kazi.Ha haha sawa
Mi mwenyewe nina tatizo hiloDuniani kuna mambo huyo hana kazi.
"Idle mind is the workshop of the devil"
Nahamia arusha, next week nitakuongoza sala ya toba..!Mi mwenyewe nina tatizo hilo
PouwaaVeeep Dada angu
Kunywa soda naja lipa mpenziHahahaa. Mie pia nashangaa ujuwe hata iweje hatuwezi kufanana mawazo yetu banaaa.
Halafu sijajuaga kumbe na sisi wanawake tunapendaga sana ligi. Eti Numbisa, emmy akikupuuza basi utasema amekukimbia. Duuuh.
Fake ids hizi zinaweza tutoa roho kwa presha. Hahahahaaaa
Emmy chaupole hawezi ligi na hajaizowea. Hahaaaaa.
Hayo nimeyafanyaBasi Kuna mengi saana kwako...
1. Huwenda kipindi ulipoanza kupata hamu kilikuwa ni kipindi cha kawaida kinachotokea kwa kila mtu ila ulipoaanza kujichua ukakidumaza kikaendelea hadi leo.
Unahitaji ushauri wa kisaikolojia.
Nitakachokushauri haya:
1. Kwanza kaa mbali na hawa wanaokuita inbox watalimaliza tatizo lako wanaweza kukuharibia ndoa yako. Wakemee nami nitaenda mlimani kukuombea.
2. Hamu ya ngono ni suala la kisaikolojia linaloweza kukuondoka akilini kama utanuia kuanzia akilini hadi kwenye mazingira uishiyo.
Hapa:
-hikikisha unakaa mbali na chochote unachohisi kitakushawishi kuwaza ngono, jukwaa la wakubwa, MMU, n.k
-tafuta cha kufanya kitakachokusaulisha hiyo hamu. Hapa tofautisha kuwa-busy na kuwa kazini. Kila mtu anaweza kuwa na kazi tena nzito ila sio kila mmoja anaweza kuwa busy au ku-concentrate kwenye hiyo kazi..lielewe kabisa.
-Inaonekana pia upo mwenyewemwenyewe muda mwingi. Jitahidi muda uliyopo free chukua watoto utoke nao mkatembee kama hauna hata wa jirani zako nendeni public places mkakae mpige story.. huwezi kuwaza ngono hapa otherwise unanitania
-fanya mazoezi lakini yawe serious... Nenda hata hapo Jk gerezani zunguka uwanjani mara nne kwa siku ukifika nyumbani nyonga zinauma. Ngono utaiskia.
Asante mwaya miss u zaidiNi fureshi niliwamiso tu
Ni wewe au????Hahahaaa. Itabidi my dear sababu kuanza kujitangazia kukimbiwa kwa jambo ambalo hata hujui kama lina uhalisia inachekesha saa nyingine. Hahahahaaa.
Ila kama ni uzito leo nimepungua aisee. Sababu kuanzia asubuhi kukaa na kitu rohoni halafu sina pa kukitua inakuwa hatari sana , sa sijui huu uzi usingekuwepo sumu hii ningeimwaga wapi. Hahahaaaa.
Hahahaaa. Kila mtu apambane na fake id yake kwa kweli. Na tusipangiane cha kuandika. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahahaa. Mie pia nashangaa ujuwe hata iweje hatuwezi kufanana mawazo yetu banaaa.
Halafu sijajuaga kumbe na sisi wanawake tunapendaga sana ligi. Eti Numbisa, emmy akikupuuza basi utasema amekukimbia. Duuuh.
Fake ids hizi zinaweza tutoa roho kwa presha. Hahahahaaaa
Emmy chaupole hawezi ligi na hajaizowea. Hahaaaaa.
Nawapendaga tu mjueHahahaha eti kundi la watakatifu aiseee yaan mtu ujiachie kukoment na kutoa mawazo yako from nowhere unaanza kashfiwa na kubadilishiwa maneno. Mwee mwee mweee(in senga's voice)
Safi Dada hilo povu nani amekuvuruga si unajua naweza pigana kwa ajili yako eenhPouwaa
Habari mdogo wangu