madabadaba
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 288
- 178
Unasumbuliwa na jini mahaba mama
Hapo inahitajika ufanyiwe maombezi .
KAMA UPO DSM tuwasiliane pm nikuelekeze kwa Mtumishi wa Yesu Mnazareti ili akuweke huru dhidi ya mwovu jini mahaba.
Hapo inahitajika ufanyiwe maombezi .
KAMA UPO DSM tuwasiliane pm nikuelekeze kwa Mtumishi wa Yesu Mnazareti ili akuweke huru dhidi ya mwovu jini mahaba.