Wee unazungumzia wiki mkuu,Mbona atashindwa mwenyewe.......nina huduma inaitwa "private in a desert"....... pumzi yake tu kama ataweza ila naweza nikapiga wiki nzima hadi aseme basi.
Wakukuibia hajazaliwa bado.... Ni venye ulikuwa mbali tuuMbona hujanambia niseme neno moja nafsi yako ipone?
Ni nani huyo anayeniibia?
Hivi kumbe sina nafasi!![emoji125][emoji125][emoji125]Wakukuibia hajazaliwa bado.... Ni venye ulikuwa mbali tuu
Nafasi ya aina gani, zipo nyingi ujue!!!!!Hivi kumbe sina nafasi!![emoji125][emoji125][emoji125]
Ni kawaida mwanamke kuwa na hamu ya mapenZ kupitiliza wakati wa ujauzito na baada sio wote na khali hii sio Mara kwa maraNimejifungua hata mwezi bado hiyo mimba naitolea wapi?
Ile nafasi hata wewe unaijua buanaa[emoji127]Nafasi ya aina gani, zipo nyingi ujue!!!!!
Maandalizi mema ya siku kuu ya Christmas na mwaka mpya!!!!
Karibu kwetu!!
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji85] [emoji85]Wakukuibia hajazaliwa bado.... Ni venye ulikuwa mbali tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwakwelYa Mungu ni mengi kwa kweli
Kumbe bado hujapona?Unayo?
can you share with us pleaseAsante
Naishukuru Jamiiforums nimepata msaada mkubwa sana
Nilikua sielewi ila nimegundua ni sehemu ya hormone imbalance
Ni tatizo linaloweza kufanyiwa tiba
Na niko kwenye procedure..
Thank you @all.