Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri, fundi kapatikana eeh!Am ok very okay
Menopause.........!!!!Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
Ukinielewesha ntakuelewaUnataka unielewe?
Ni vigumu sana kunielewa
Hongera zake!Ndiyo
Hongera zake!
So nao deile unachezea.....!
We nae mwache dada yangu mbona unamchimba sana
Wenye mapepo wanajuana
LolUsicheke maana mi show mpaka kukazia na spana. Nataka zile za gusa unate. Unasukuma mtoto na kidole tu unajilia mzigo
Ya kwako umeyatoa?
Wacha ukali basi,au Nyegezi zinahamia kwa kichwa?Kuna mahali natoa msaada?
Hahahah mpenzi umenibambaa leo!