Sometime Putin ,nashikwa nahasira ..Naamua tu kuwachana laivu ..Mnaishia kunitukana .
SEMA serious ,, Humu JF kuna kakundi kadogo Ka wanawake wanaojielewa sana, Ubaya sio wasemaji ..Matokeo yake Kundi Kubwa lawanawake aina ya Mtoa mtoa Wanakua wasemaje sanaaaaaaaa Kiasi kwamba kale kakundi kadogo kanafunikwa Namwisho wote mnaishia kuonekana HAMNA KITU.
Ifike Maali ,,mjifunze kukemea mambo km haya coz yanawa Devalue sana.
Ivi hapa mwanamke aloolewa anajifunza nini ???? ,kwakiasi fulan hapa kuna mwanamke naye anaenda kuhalalisha udhaifu wake nakuanza kuchepuka !!!
Kuna siku nilisema WANAWAKE WA JF MNAONGOZA KWA KUVUNJA NDOA ZAWATU KUPITIA POST ZENU NAMICHANGO YENU ,,,hamjui nn ,,huwa mnajenga nn vichwan mwa watu ..
Aiseeee Inakera sana.