Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Basi Kuna mengi saana kwako...

1. Huwenda kipindi ulipoanza kupata hamu kilikuwa ni kipindi cha kawaida kinachotokea kwa kila mtu ila ulipoaanza kujichua ukakidumaza kikaendelea hadi leo.

Unahitaji ushauri wa kisaikolojia.

Nitakachokushauri haya:
1. Kwanza kaa mbali na hawa wanaokuita inbox watalimaliza tatizo lako wanaweza kukuharibia ndoa yako. Wakemee nami nitaenda mlimani kukuombea.

2. Hamu ya ngono ni suala la kisaikolojia linaloweza kukuondoka akilini kama utanuia kuanzia akilini hadi kwenye mazingira uishiyo.

Hapa:
-hikikisha unakaa mbali na chochote unachohisi kitakushawishi kuwaza ngono, jukwaa la wakubwa, MMU, n.k

-tafuta cha kufanya kitakachokusaulisha hiyo hamu. Hapa tofautisha kuwa-busy na kuwa kazini. Kila mtu anaweza kuwa na kazi tena nzito ila sio kila mmoja anaweza kuwa busy au ku-concentrate kwenye hiyo kazi..lielewe kabisa.

-Inaonekana pia upo mwenyewemwenyewe muda mwingi. Jitahidi muda uliyopo free chukua watoto utoke nao mkatembee kama hauna hata wa jirani zako nendeni public places mkakae mpige story.. huwezi kuwaza ngono hapa otherwise unanitania

-fanya mazoezi lakini yawe serious... Nenda hata hapo Jk gerezani zunguka uwanjani mara nne kwa siku ukifika nyumbani nyonga zinauma. Ngono utaiskia.
[emoji106]
 
Wanawake tunaaminika kwa kuzungumza matatizo yetu ndio maana magonjwa ya pressure na stress sio rahisi kutuua tofauti na wanaume. Ila humu kuna watu hawataki.
Cha ajabu wanaume ndio wanasifika kwa kuwa na vifua vya kutunza mambo, ila humu wanamwagika tu na kusifiana ujinga. Ila hawaonekanibwa ajabu!!! Seriously!!!
Akileta mada ya kuzini anapigiwa makofi ya huo ndo uanaume akileta ke utasikia kicheche tu huyo pumbafu kabisa
 
Yaan mtu asome mambo ya jf ndo aka apply kwenye maisha yake bila kutafakari? Huyo atakuwa na matatizo yake mwenyewe. Wenye akili wanajifunza kuwa kuna wanaume cheaters na wanawake cheaters pia. Then mwenyewe anaamua afuate njia gani? Km wanaume mnakera na mna tabia mbaya tunawachana live
Kwan tunavyosema Utandawazi unaharibu watu unahisi nn kinazungumzwa ??????.

Au unahisi utandawaz nibonge lavideo ambalo ukilitizama naww apoapo unabadilika ????.

Kwan mpaka anaandika humu ,sinisababu kuna kitu amekiona humu???? .

Uwe unafikiria.
 
MIMI ZINAKUWAGA MSOGA WHILE NIPO KUNDUCHI DAR NIIZITAKA NDO ZINAKUJA HHAHAHA SHKAMOO BALIMI NA DON NYATI NIKISHAPIGA HAYO MAKITU NAKUWA KAMA FARU ALIYESHIKWA KALIO MKOROFIII
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!.
😛😛😛😛

I take that to be in the affirmative!

But Man oh man....I could have been anything I wanted to.

Heck, I still could. After all the world is my oyster.

I’m a baaaaaaaad man.
 
viongozi wa dini nao siku hizi wana kiu ushauri wao utakuwa labda umsaidie kumtolea kiu huyo mchungaji.kuwa na hamu hivyo sio ugonjwa ni afya.una nyege nyingi na unatakiwa kupata mwenye nyege mwenzako mtoleane kiu mpaka muwe kama majogoo yaliyopigana yakachoka yanabaki kuangaliana tu
Yaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?

Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.

Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.

Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.

Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.

Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
 
Unatumia nini mkuu agiza ntalipia tunateseka mno na mambo km haya ambayo kuyasema katik hadhira unaonekana kitombwi
Hakuna mzizi ila ni uekewa kabla ya kuendesha gari ni vema kutambua unaendesha gari gani na unatakiwa kutumia mfumo Gani katika uendeshaji wa gari husika ili imalize gia na kufika mwisho wa Safari bila kuchemsha, kutumia viagra sio dawa ya kurithisha nwanamke zaidi ni kumuumiza na kumuacha na hamu yake yapo mambo mengi katika mapenzi sio kuingiza na kutoa tuu maandalizi ni bora kuliko mapenzi yenyewe hasa kwa mwanamke, mwanaume hata asipo andaliwa yeye likisimama tu hataki ziada, kumfikisha mwanmke kileleni ni ngumu kuliko kupanda mlima Kilimanjaro hasa ukiwa na papara mwanmke anaweza Kukojoa lakini akawa bado hamu anayo tofauti sana na sisi tukikojoa tunapiga breki kwanza
 
Hornet hope ushapata msaada maana kuna elimu kubwa sana imetolewa katika uzi huu. Tatizo lako lipo na haupo peke yako, sema wengi hawasemi tu. Usijisikie vibaya kwa maneno machache ya miungu watu wanaokukatisha tamaa na kukufanya ujione wa ajabu. Fuata tu ushauri wa kujenga upate msaada mama.
Nimejifunza kujichua ni kuzidisha tatizo sio yangu lkn kupitia Uzi Huu Nimepata somo
 
Ebwanaeeeeeee, wewe una ka ugonjwa kama kangu. Mm mke ninaye ila tunagombana usiku na mchana kuhusu kunipa hataki
 
Hakuna mzizi ila ni uekewa kabla ya kuendesha gari ni vema kutambua unaendesha gari gani na unatakiwa kutumia mfumo Gani katika uendeshaji wa gari husika ili imalize gia na kufika mwisho wa Safari bila kuchemsha, kutumia viagra sio dawa ya kurithisha nwanamke zaidi ni kumuumiza na kumuacha na hamu yake yapo mambo mengi katika mapenzi sio kuingiza na kutoa tuu maandalizi ni bora kuliko mapenzi yenyewe hasa kwa mwanamke, mwanaume hata asipo andaliwa yeye likisimama tu hataki ziada, kumfikisha mwanmke kileleni ni ngumu kuliko kupanda mlima Kilimanjaro hasa ukiwa na papara mwanmke anaweza Kukojoa lakini akawa bado hamu anayo tofauti sana na sisi tukikojoa tunapiga breki kwanza
Upo vizuri sana ndo hivyo nakimbia sehemu lkn ntarudi
 
Back
Top Bottom