Utaendelea kuwa maskini, kwasababu wewe ni maskini wa mawazo; haingii akili eti mpaka unapata milioni 80 hujui cha kufanya, labda umekwapua mahali;siwezi kushiriki kumwendeleza mwizi (fisadi). Kanuni ya biashara, huwa linaanza WAZO, halafu MPANGO, baadae MTAJI. Sasa wewe uliwezaje kutafuta pesa kabla ya kuwa na mpango. Mahitaji ya watu katika eneo husika ndio hugeuzwa kuwa fursa ya biashara.