Ushauri: Nina milioni 6 lakini sijui nifanye biashara gani

Ushauri: Nina milioni 6 lakini sijui nifanye biashara gani

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,286
Reaction score
39,418
Wapambanaji mambo ni vipi,

Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni.

Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata million sita na point kazaa ila sasa shida inakuja kwenye kuchagua biashara ya kufanya kwani sipati majibu sahihi.

Humu ndani kuna wataalam wa masuala ya biashara nipeni ushauri nifanye biashara gani ambayo nitaona matunda,? Nipo DSM.

NB: Atakae nipa business plan nzuri zawadi ipo
 
Karibu singida nina mchele wa Super ntakuuzia Kwa shng 1600/= Kwa kilo ukipeleka dar utauuza Kwa 2000/=kilo ... Tafakari mchele soko lipo njoo chukua mchele.
 
Njoo tulime tikiti mkuu

Tumekosa mtu mwenye mtaji tu wa kushirikiana nae.

Tupo wawili, mmoja ni expert wa haya masuala muda mrefu.

Ardhi ipo wala sio ya kukodi, rutuba ya kutosha

Maji yapo (ya mto mara na mabwawani, yanapatikana muda wote).

Wateja wa tikiti wapo wala sio wa kuhangaikia (kutoka kenya, tarime, musoma na serengeti)

Ikipatikana milioni 2 inatosha kabisa.

Uwezekano wa kupata 4 mil net profit (baada ya miezi mitatu) kwa kila mmoja wetu baada ya kuondoa mtaji (2mil ) upo kabisa.

💪Kilimo hiki huanza mwezi wa 5

Karibu sana (nashauri uje kabisa tuonane ili kuongeza uaminifu zaidi)

Eneo la kilimo ni wilaya ya serengeti

Kata ya kisaka

Kijiji cha Borenga

Katika bonde la mto Mara

Mawasiliano: 0744033555
 
Njoo tulime tikiti mkuu
Tumekosa mtu mwenye mtaji tu wa kushirikiana nae.
Tupo wawili, mmoja ni expert wa haya masuala muda mrefu.

Ardhi ipo wala sio ya kukodi, rutuba ya kutosha
Maji yapo (ya mto mara na mabwawani, yanapatikana muda wote).

Wateja wa tikiti wapo wala sio wa kuhangaikia (kutoka kenya, tarime, musoma na serengeti)

Ikipatikana milioni 2 inatosha kabisa

Uwezekano wa kupata 4 mil net profit (baada ya miezi mitatu) kwa kila mmoja wetu baada ya kuondoa mtaji (2mil ) upo kabisa.

[emoji123]Kilimo hiki huanza mwezi wa 5

Karibu sana (nashauri uje kabisa tuonane ili kuongeza uaminifu zaidi)

Eneo la kilimo ni wilaya ya serengeti

Kata ya kisaka

Kijiji cha Borenga

Katika bonde la mto Mara

Mawasiliano: 0744033555
Umewahi kulima tikiti kabla mkuu.soko lake pasua kichwa
 
Njoo tulime tikiti mkuu
Tumekosa mtu mwenye mtaji tu wa kushirikiana nae.
Tupo wawili, mmoja ni expert wa haya masuala muda mrefu.

Ardhi ipo wala sio ya kukodi, rutuba ya kutosha
Maji yapo (ya mto mara na mabwawani, yanapatikana muda wote).

Wateja wa tikiti wapo wala sio wa kuhangaikia (kutoka kenya, tarime, musoma na serengeti)

Ikipatikana milioni 2 inatosha kabisa

Uwezekano wa kupata 4 mil net profit (baada ya miezi mitatu) kwa kila mmoja wetu baada ya kuondoa mtaji (2mil ) upo kabisa.

[emoji123]Kilimo hiki huanza mwezi wa 5

Karibu sana (nashauri uje kabisa tuonane ili kuongeza uaminifu zaidi)

Eneo la kilimo ni wilaya ya serengeti

Kata ya kisaka

Kijiji cha Borenga

Katika bonde la mto Mara

Mawasiliano: 0744033555

Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom