Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Ongeza milioni moja ununue bajaji basi
Ufanye biashara ya usafiri
40,000 kwa sikuWewe mtu wa2 unasema hv una idea na hii busn? Malipo yakoje nk
Mkuu hii idadadvue pia tuione vizuri.Nunua ng'ombe bukoba, shinyanga au geita uzaa Dar na ukiweza Comoro. Au Nunua mazao halafu uza
Umewahi kulima tikiti kabla mkuu.soko lake pasua kichwaNjoo tulime tikiti mkuu
Tumekosa mtu mwenye mtaji tu wa kushirikiana nae.
Tupo wawili, mmoja ni expert wa haya masuala muda mrefu.
Ardhi ipo wala sio ya kukodi, rutuba ya kutosha
Maji yapo (ya mto mara na mabwawani, yanapatikana muda wote).
Wateja wa tikiti wapo wala sio wa kuhangaikia (kutoka kenya, tarime, musoma na serengeti)
Ikipatikana milioni 2 inatosha kabisa
Uwezekano wa kupata 4 mil net profit (baada ya miezi mitatu) kwa kila mmoja wetu baada ya kuondoa mtaji (2mil ) upo kabisa.
[emoji123]Kilimo hiki huanza mwezi wa 5
Karibu sana (nashauri uje kabisa tuonane ili kuongeza uaminifu zaidi)
Eneo la kilimo ni wilaya ya serengeti
Kata ya kisaka
Kijiji cha Borenga
Katika bonde la mto Mara
Mawasiliano: 0744033555
Njoo tulime tikiti mkuu
Tumekosa mtu mwenye mtaji tu wa kushirikiana nae.
Tupo wawili, mmoja ni expert wa haya masuala muda mrefu.
Ardhi ipo wala sio ya kukodi, rutuba ya kutosha
Maji yapo (ya mto mara na mabwawani, yanapatikana muda wote).
Wateja wa tikiti wapo wala sio wa kuhangaikia (kutoka kenya, tarime, musoma na serengeti)
Ikipatikana milioni 2 inatosha kabisa
Uwezekano wa kupata 4 mil net profit (baada ya miezi mitatu) kwa kila mmoja wetu baada ya kuondoa mtaji (2mil ) upo kabisa.
[emoji123]Kilimo hiki huanza mwezi wa 5
Karibu sana (nashauri uje kabisa tuonane ili kuongeza uaminifu zaidi)
Eneo la kilimo ni wilaya ya serengeti
Kata ya kisaka
Kijiji cha Borenga
Katika bonde la mto Mara
Mawasiliano: 0744033555
Fuga kuku wa mayai.
Yaami utakua unauza mayai na kuku
Asilimia 13 kila mwezi????!!!Fungua fixed account upate 13% kwa kila mwezi pale TPB.