Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

Mzazi mwenye kukuachia urithi mrefu kama huo lazima akuachie na network ya watu watakaukushauri vyema. Yaani unakuja kuomba ushauri JF. Hapo ndo unakuwa umegonga ukuta mjomba
 
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Umehamia Dar alafu umepanga chumba huku una Mil 774 na laki 5, ahya bhana!

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Hana hata mia huyooo!! We angalia ameandika nini kwa maneno na kilichoko kwenye tarakim
 
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Mkuu hiyo siyo milioni mia saba na laki saba...ni milioni mia saba sabini na nne mia tano thelasini na tatu elfu mia mbili kumi na mbili.
Tafadhali fanya mabadiliko
 
Nenda kawezekeze UTT chagua mfuko wa kulipwa faida kila baada ya miezi 3. Nina hakika utaondoka na pesa ya faida ndefu sana kila mwezi kwa hiyo pesa yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko UTT pia kuna mfuko wa Bond ambao faida anaweza kupata kila mwezi. Akiweka milioni 700 pato la kila mwezi litacheza zaidi kidogo ya milioni 5.

Au mfuko wa Jikimu, wao wanalipa kila miezi mitatu - ambapo pato litazidi milioni 15 kwa kila miezi mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko UTT pia kuna mfuko wa Bond ambao faida anaweza kupata kila mwezi. Akiweka milioni 700 pato la kila mwezi litacheza zaidi kidogo ya milioni 5.

Au mfuko wa Jikimu, wao wanalipa kila miezi mitatu - ambapo pato litazidi milioni 15 kwa kila miezi mitatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yesir, huko angekula kiulaini huku akifanya mambo yake taratibu. Aende UTT akapate maelezo na achague mfuko wa kuwekeze atakula faida ndefu huku pesa yake ikibaki palepale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kama upo siriaz fanya kitu kimoja. Nenda bacrays bank fungua fixed acc alafu uwe unakula faida kila mwezi hutakosa milioni kumi faida alafu ishi kimwinyi asubuhi hadi jioni ni kahawa na kucheza bao tu huku mama nyumbani anashinda na kanga moja bila kufuli. Maisha ndio hayo kijana.
 
Kwakuwa pesa hizo umepata ghafla na huna uzoefu wa kushika pesa nyingi kutokana na maelezo yako, nashauri Wakati unawaza cha kufanya weka kiasi cha mil 600 bank au kwenye portfllio utapata return ya mpaka 15% ambayo ni ml 90 kwa mwaka bila kufanya lolote.

Ml 170 itumie sasa kufikiria baishara unayoweza kufanya...kwa ufanisi bila presha.
 
Nunua nyumba Cyprus,malta,Portugal au Bahamas island utapatiwa na uraia kabisa huko huko kwa dollar 100000

Unanza mausha mapya pia opportunity za kupata kazi ni nyingi kuliko hapa bongo

Biashara uncle magu hakuachu salama na kodi ya 80%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?

wekeza kwenye government securities za muda mrefu TZS 750 million pili hama kwenye hicho chumba unachoishi huwezi kua na mawazo ya msingi ukiwa unaishi kwenye chumba kimoja chenye mwanga hafifu
 
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.

Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.

Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.

Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.

Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.

Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Tafuta viwanja Jenga quarters. Dar makazi Ni adimu Sana.
 
Ila kama upo siriaz fanya kitu kimoja. Nenda bacrays bank fungua fixed acc alafu uwe unakula faida kila mwezi hutakosa milioni kumi faida alafu ishi kimwinyi asubuhi hadi jioni ni kahawa na kucheza bao tu huku mama nyumbani anashinda na kanga moja bila kufuli. Maisha ndio hayo kijana.
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji205]

Distributed Denial-of-Service
 
Back
Top Bottom