Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Hana hata mia huyooo!! We angalia ameandika nini kwa maneno na kilichoko kwenye tarakimUmehamia Dar alafu umepanga chumba huku una Mil 774 na laki 5, ahya bhana!
Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Mkuu hiyo siyo milioni mia saba na laki saba...ni milioni mia saba sabini na nne mia tano thelasini na tatu elfu mia mbili kumi na mbili.Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Milioni miasaba na laki saba 774,536,362
Mkuu kama hujui hata kuisoma hiyo hela jiandae kuipoteza tu
umasikini unakuja tu umeshuka kwanza singida unachimba dawa na kuagiza mishkaki
Huko UTT pia kuna mfuko wa Bond ambao faida anaweza kupata kila mwezi. Akiweka milioni 700 pato la kila mwezi litacheza zaidi kidogo ya milioni 5.Nenda kawezekeze UTT chagua mfuko wa kulipwa faida kila baada ya miezi 3. Nina hakika utaondoka na pesa ya faida ndefu sana kila mwezi kwa hiyo pesa yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesir, huko angekula kiulaini huku akifanya mambo yake taratibu. Aende UTT akapate maelezo na achague mfuko wa kuwekeze atakula faida ndefu huku pesa yake ikibaki palepale.Huko UTT pia kuna mfuko wa Bond ambao faida anaweza kupata kila mwezi. Akiweka milioni 700 pato la kila mwezi litacheza zaidi kidogo ya milioni 5.
Au mfuko wa Jikimu, wao wanalipa kila miezi mitatu - ambapo pato litazidi milioni 15 kwa kila miezi mitatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
wekeza kwenye government securities za muda mrefu TZS 750 million pili hama kwenye hicho chumba unachoishi huwezi kua na mawazo ya msingi ukiwa unaishi kwenye chumba kimoja chenye mwanga hafifu
Tafuta viwanja Jenga quarters. Dar makazi Ni adimu Sana.Habari wana jamvi, ni matumaini yangu kwa uwezo wa yeye tumtumainiaye wote ni wazima wa afya.
Ama baada ya salamu, kama jinsi thread inavyojieleza wandugu nina suala nahitaji mawazo na ushauri wenu, ingawa sina hakika kama wachangiaji watakaochangia watanipa ushauri unaofaa au la.
Kwa utashi nilionao, naweza kuchukua yale ambayo nitaona yananifaa, na kwa yale ambayo hayatonifaa nitaweza kuyaachia humu humu jamvini.
Wana ndugu, mimi nimerithi mali na pesa taslim, ambazo kulingana na mkanganyiko na sintofahamu kutoka kwa baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki, nililazimika kuziuza zile mali zote ili kuziba mianya ya utapeli na dhuluma ambazo niliziona.
Kwa ujumla nimepata shilingi milion mia saba na laki saba (774,533,212) nilikuwa Mwanza imebidi nihamie Dar, nimepanga chumba.
Kwa wenye uzoefu; je, nifanyie nini hizi fedha?
Wape gawio serikali kuunga mkono juhudi
[emoji28][emoji23][emoji1787][emoji205]Ila kama upo siriaz fanya kitu kimoja. Nenda bacrays bank fungua fixed acc alafu uwe unakula faida kila mwezi hutakosa milioni kumi faida alafu ishi kimwinyi asubuhi hadi jioni ni kahawa na kucheza bao tu huku mama nyumbani anashinda na kanga moja bila kufuli. Maisha ndio hayo kijana.