Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Akili fupiMpaka hapo umeshafeli, kabla ya kuchukua pesa inabidi mipango yote na taarifa zote za unachoenda kufanya ziwe tayari, na hapo umeshakusanya taarifa zote muhimu.
Sasa ndugu hizo pesa zinawezapotea pasipo cha maana kwasababu utafanya vitu ambavyo haviko katika mpango na mpangilio.