Ushauri: Nina milioni sita nahitaji kuwekeza katika ufugaji

Akili fupi
 
Tafuta ngombe wa kienyeji ndama wa Bei ndogo ili Kila mwaka uwe unavuna na kuuza utafurahi mkuu
 
Hio pesa tayari umefeli kabla hujaanza, Cha msingi elekeza hio ela kwenye biashara ambayo tayari ipo na inaendelea, Kama huna biashara ni ngumu kwa hela hio ya mkopo, Ikiwezekana rudisha pesa yote ili uondokane na strees za marejesho Anza upya kwa sababu eneo unalo kubwa tu...Anza na mbuzi wa mkopo au ng'ombe wa mkopo
 
Mkuu bado hujachelewa, ila kuwa makini na matumizi ya hiyo pesa angalau 80% ipandikizwe kwenye mifugo moja kwa moja! Kadri mradi utakavyokuwa unalipa ndivyo utakuwa unaboresha na kupanua miundo mbinu ya kufugia! Pia ng'ombe wa maziwa wanaweza kukulipa!
 
Fuata maelekexo haya
Fuga ngurue
 
Ni mradi mzuri sana. Tatizo tu ni imani. Ni mzuri kujifunzia kuliko hata kuku.
Daa INGEKUWA sio iman mkuu kwa pesa yako na mazingira uliyo yaanda ingekufaa sana.. Ila sio mbaya mirango ya kutokea ni mingi utapata njia nyine tu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…