Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Akili fupiMpaka hapo umeshafeli, kabla ya kuchukua pesa inabidi mipango yote na taarifa zote za unachoenda kufanya ziwe tayari, na hapo umeshakusanya taarifa zote muhimu.
Sasa ndugu hizo pesa zinawezapotea pasipo cha maana kwasababu utafanya vitu ambavyo haviko katika mpango na mpangilio.
Wazo zuri sanaaNg'ombe watano wa maziwa wangekupa uhakika wa kuingiza 50,000 kwa Kwa siku
Tafuta ngombe wa kienyeji ndama wa Bei ndogo ili Kila mwaka uwe unavuna na kuuza utafurahi mkuuSalaam wakuu!
Baada ya kuhangaika sana nimefanikiwa kupata milioni 6 ya mkopo bank, sasa nilikuwa nahitaji kuwekeza katika ufugaji, eneo la kufugia ninalo tayari lenye ukubwa wa heka 30 na ni eneo la mashambani kidogo.
Kwa eneo nilipo kwa ujenzi naweza tumia tofali za kuchoma kwa ujenzi kwa kuwa zinapatikana na pesa niliyonayo nahitaji kuitumia kwa ajili ya ujenzi wa kibanda cha mlinzi, mabanda ya mifugo na ununuzi wa mifugo.
Msaada na nini nifuge kwa kurudisha pesa haraka.
Fuga ngurueJambo la kwanza uwepo wewe karibu ili kuweza kufwatilia hadi mradi usimame. Hiyo kitu haitaki mtu mwenye haraka. Sio unakaa tabata mradi bagamoyo lazma upigwe.
Jambo la pili kama unafuga tafuta mbegu bora na itunze vizuri. Kama ni ngombe basi tafuta wa kutoa maziwa ya kutosha na mbegu ya kisasa kabisa. Pia tumia mbolea na ulime bustani. Ni rahisi kuuza bidhaa za maziwa na hizo mboga mboga kwa pamoja.
Tatu, fahamu vya kutosha kitu unachotaka kufanya na weka gharama za wataalamu. Pengine ikaongeza gharama kidogo lakini itakuepusha na gharama kubwa baadae ikiwa kuna jambo utakosea. Kama ni kilimo pima udongo na pata ushauri zao gani linafaa na kwa namna gani utafaidika.
Ni mradi mzuri sana. Tatizo tu ni imani. Ni mzuri kujifunzia kuliko hata kuku.Fuata maelekexo haya
Fuga ngurue
Daa INGEKUWA sio iman mkuu kwa pesa yako na mazingira uliyo yaanda ingekufaa sana.. Ila sio mbaya mirango ya kutokea ni mingi utapata njia nyine tu ..Ni mradi mzuri sana. Tatizo tu ni imani. Ni mzuri kujifunzia kuliko hata kuku.