Ushauri: Nina wasiwasi mwenzenu!

Hy hali sio ya kawaida. Chamsingi piga maombi mama.
 
Kinacho fuata utajikuta makaburini kesho, mme wa mtu ni sumu.
 
No way out zaidi ya kumuomba Mungu kwasababu hiyo sio hali ya kawaida kabisa.sali kabla ya kulala na unapoamka pia.
 
Kama unachosema ni kweli kuna dalili za ushirikina hivi ....
Inawezekana kuna mtu ameamua kukuchezea maana nilishawahi kusikia stori kama hizi na ilifikia mpaka mtu analazwa nje bila yeye mwenyewe kujijua!
Ni vyema utafute watumishi wa Mungu wakufanyie maombi. Pole!
 
Hii kali ya mwaka ....mmh inawezekana ulivua nguo mwenyewe ukiwa usingizini
 
I wish ningekukuta uko hivyo.....yaan umesaula vyoote na umelala chaliiiii........mmmmh mama Jack weeee......
 

Kama usemacho ni kweli kimekutokea, binafsi ninakushauri hatua ya kwanza hama mara moja hapo unapoishi, then maombi ya imani, huku ukijichunguza maisha yako kama kuna mtu umemfanyia jambo baya (e.g. kumrusha pesa, kutembea na mpenzi/mumewe n.k). Fikiria pia kuwashirikisha mashehe maana usikute ni jini lilikuwa linakulamba au linataka kufanya ngono na wewe.
 
hii ni kweli, ushauri mzuri sana huu...ufuate mhusika...
 
Usi[ende kulala bila kusali na weka biblia kabsa kitandani na uwe na imani!!!
 
Usipende kulala bila kusali na weka biblia kabsa kitandani na uwe na imani!!!
 
mito nashukuru sana kwa ushauri wako,shida ni nyumba yangu mwenyewe ya kujenga,and nina miezi 3 toka nihamie,halafu sinadhuluma wala sinauhusiano na mme wala hawala wa mtu.ila naamini Mungu atanipigania kwa hili.muniombee dua mwenzenu.mpaka nyumba naiogopa.leo sitapata usingizi na mida ndo hiyo inakaribia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…