Nakushauri kijana mwenzangu achana na wanaokushauri nunua kiwanja. Awo ni waoga wa maisha na wengineo wameshafeli kimaisha. Fanya mchakato nunua boxer-150 ya Tsh 1.4 milion
Alafu kama kazini unaingia saa moja, amka asubuhi piga mishe mishe za boda boda na jioni kama unatoka kazini saa 11 piga mda huo mpaka saa 2 usiku. Uwezi kukosa elfu 10. Kwa siku na siku za wikiend unakomaa. Kwa mwaka tayari pesa yako imerudi na mishe zikaendelea
Lakini kama ukimpa mtu, ujue umetoa sadaka hakuna faida yoyote. Biashara yenye faida ni kuwepo mwenyewe na sio kumpa mtu hakuna faida yoyote