Somo lako zuri sana nimelielewa kidogo, ila hapo kwenye 16% ya faida, je hii ni kwa mda gani? Nina maanisha ni faida ya kila mwezi au mwaka, au kwa kipindi chote utakachokuwa umeweka?
Utapigwa kaka achana nayo hiyo businessHii biashara ya forex ipo vipi mkuu, ukweli kwangu ni kitu kipya hiki
Inaelekea hujui hata 1 kuhusu hii sasa mpaka uje kujua moja itakua umepunguza pesa ya unayotakiwa kuinvest so invest kwanza kwenye ardhi ndio usome hii fx then utaanza baadae ukihitsjiHii biashara ya forex ipo vipi mkuu, ukweli kwangu ni kitu kipya hiki
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mm naona bora utafte demu mkali tu
Benki gani inatoa fixed deposit interest rate ya 16% per annum? Tujulishe tukajiunge na benki hiyo faster!!Inategemea unaiweka kwa ajili gani. Kama unataka hiyo fedha ikupatie faida inategemea na kiwango unachoweka fixed deposit. Average rate ya fixed deposit ni 16%. Inategemea unaweka shilingi ngapi ongeza asilimi 16 ndiyo faida utakayopata. Kuhusu hisa faida utapata kama utasubiri hisa zipande bei ndipo uuze. Sasa soko letu halijachangamka sana hivyo nako vigumu kupata faida kubwa. faida kubwa pia inategemea umenunua hisa ngapi na kama znapanda bei kila wakati. gawio la hisa huwa si kubwa. Kununua wakati bei iko chini na kuuza wakati bei imepanda ndiyo kunafaida katika hisa. Kuna mtu alisema kununua fedha za kigeni kuna faida sana. Kwa mfano ukinunua US dollar leo na ukauza mwaka kesho au baada ya miaka miwili utapata faida kubwa.
Lower risks lower returns,treasury bond inaangukia hapo boss.Tafuta Uzi humu unahusu treasury bond
Fanya forex, weka lot size 0. 01 fungua lot kama kumi hivi..............ukihitaji pesa yako unaclose order vizuri tu
Somo lako zuri sana nimelielewa kidogo, ila hapo kwenye 16% ya faida, je hii ni kwa mda gani? Nina maanisha ni faida ya kila mwezi au mwaka, au kwa kipindi chote utakachokuwa umeweka?
Eneo sahihi ni hisa tu but kwa hali ya sasa mwenendo hautabiriki, angalia makampuni yanayoonyesha mwelekeo kwenye soko la hisa, mfano sigara itaendelea kufanya vizuri,saruji,swisspprt ila hisa za mabenki zitaendelea kuporomoka, kungekuwa na hisa kwenye sekta ya usafirishaji ningeshauri2.kuhusu viwanja kwa sasa siyo biashara tena ni bahati na sibu kutokana na sera na misimamo ya serikali na tozo kwenye ardhi 3.Kuhusu fixed deposit ni worse zaidi benki hazivutii kwa viwango vyake ni bora uingie black market nunua dola zikalishe nyumbani utauza baadayrbkwa hela nzuriNiliwahi weka fedha fixed deposit NBC nilipopata hiyo faida ikakatwa kodi sikuona tofauti kubwa sana na ile ya kwenye savings account,
Mkuu hiyo nimetoa ni average rate. Ila Bank of India ni 9.75% kwa investment ya less than 10 million na above 10 M ni 15 % na Barclays Bank ni 15% kwa minimum amount of USD 4,500. Ninachokiona hapa lazima uwe na mtaji mkubwa. Hawataki vihela vyetu vya madafu. Tafuta mkuu ujionee mwenyewe. Nimetoa just a rough idea na hiyo rate ya 16 nimeigoogle ndiyo inayosemekana ni average.Benki gani inatoa fixed deposit interest rate ya 16% per annum? Tujulishe tukajiunge na benki hiyo faster!!
Mmmmh! Inaonekana ni kubwa mno.Mkuu hiyo nimetoa ni average rate. Ila Bank of India ni 9.75% kwa investment ya less than 10 million na above 10 M ni 15 % na Barclays Bank ni 15% kwa minimum amount of USD 4,500. Ninachokiona hapa lazima uwe na mtaji mkubwa. Hawataki vihela vyetu vya madafu. Tafuta mkuu ujionee mwenyewe. Nimetoa just a rough idea na hiyo rate ya 16 nimeigoogle ndiyo inayosemekana ni average.
Usitake ibia watuForex
Ni biashara ya kuuza na kununua pesa kwa kifupi.........
INA SHERIA ZAKE............. Pesa ambazo unaweza tu kuziweka benki kisha ukizitoa wanazikata........... Unaweza kuzibadilisha kuwa kwenye USD, JPY, EUR etc kisha ukaziuza kulingana na demand....... With higher discpline of money management zinaweza zaa faida kubwa zaidi.
ONA HAPO USD 50 ndani ya saa 1imezaa USD 15............. Yaani laki 1 na 11 ya TZ, imezaa elfu 32 ndani ya saa 1........... What the business?