Ushauri: Niweke fedha benki kwenye fixed account au ninunue hisa?

Unakosea sana kununua hisa sio kupata gawio the real thing ni kuuza at profit Sasa thamani ya hisa zimepanda au kama zimepanda uza hisa zako uone faida. Kampuni hailazimishwi kukupa gawio in fact Kampuni hata haielewi kinachoendelea kwenye soko la hisa
 
nasubiri huo mrejesho ..tena nakufuatilia kama kivuli chko ...ukiuleta. nitag kiongozi
 
Mwenyewe nimeshangaa mkuu. Nimezikuta kwenye web page zao. Labda kama hawaweka current rates. Ukiingia kwenye page zao utazikuta. Ila deposit rate kweli ni ndogo sana.
 
Maelezo mazuri lakn kilichokuponza matusi cjui kwann umeahindwa kuzuia hisia zako ukatoa maada kwa upole bila kutukana!! Jmn huu mwaka 2018 tubadilike.
 
Kwa Sasa hivi nunua dollar uhifadhi bank au ndani kwako hisa ni hasara na bank zinafilisika so utashangaa bank inafungwa ghafla
Tuna uhakika gani kuwa USD dollar kuwa haitashuka thamani against any currency even TZSH.
Unaogopa kupata hasara kwenye hisa?
Kwani Hisa zipoTanzania tu?, what about New york stock exchange......NASDAQ,........... Apple, amazon, ebay etc.

NOTE:1.
Education is the most weapon which could be used to fight poverty
2. Don't invest any amount of money which your are not willing to lost in any business.
 
Habari wakuu, naomba mwenye ujuzi na mambo ya fedha anisaidie.

Kuweka fedha benk katika akaunti ya muda maalum(fixed account) au kununua hisa kipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa malengo. Ushauri wenu unahitajika
Hayo malengo yako unaanza utekelezaji lini mkuu? Tuanzie hapa kwanza.
 
Usitake ibia watu
Mtu unamiliki smartphone bado hujui Forex ni nini?.......... Na ukute unamiliki degree kabisa ya chuo kikuu, katika dunia hii.
Tuna tatizo kwenye mitaala yetu.
 
Kununua USD nako hakuna utofauti sana na kununua hisa,nipende kukuliza hiyo pesa yako unataka kuanza kuitumia kwa muda gani? Tuanzie hapo..
 
Hv unajua how to invest in nasdaq as a foreigner Tena toka Tanzania there is no way. Ila tusibishane
 
Kuna uzi humu kwa wazee wanaoamini katika kubeti hapo washapaa kwenye faida ya mabilioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…