Inategemeana na mtaji ulionao na level yako ya maisha kiuchumi,
1. Fixed account ni nzur kama ww ni maskini yaan mtaji mdogo! Level 3 ,yaaan kuanzia million 5 mpaka 200 millions,
2. Hisa ni nzur kwa investors level 1 and 2yaani wenye mitaji ya kuanzia million 200 mpaka billions!
Ni mwehu pekee anayekimbilia kununua hisa na mtaji chini ya million 5, huku hana hata kiwanja cha 1million, anaishi nyumba ya kupanga, hana kitega uchumi, anaishi na maden juu!
Kununua hisa na kukodolea gawio na jaa kali likukomboe kimasha sio ujanja ni ufalaa!!