kamikaze tz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 232
- 174
Habari wakuu, naomba mwenye ujuzi na mambo ya fedha anisaidie.
Kuweka fedha benk katika akaunti ya muda maalum(fixed account) au kununua hisa kipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa malengo. Ushauri wenu unahitajika
Kuweka fedha benk katika akaunti ya muda maalum(fixed account) au kununua hisa kipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa malengo. Ushauri wenu unahitajika