Ushauri: Niweke fedha benki kwenye fixed account au ninunue hisa?

Ushauri: Niweke fedha benki kwenye fixed account au ninunue hisa?

Bank zifuatazo zimetangazwa kufutiwa leseni leo na BOT:
Covenant bank of Women
Meru community bank
Efatha bank ltd
Njombe Community bank ltd
Kagera farmer cooperative bank

Hizi community bank ambako wakulima wanaweka pesa zao,wahesabu maumivu tu
 
Habari wakuu, naomba mwenye ujuzi na mambo ya fedha anisaidie.

Kuweka fedha benk katika akaunti ya muda maalum(fixed account) au kununua hisa kipi kinaweza kuwa bora zaidi kwa malengo. Ushauri wenu unahitajika
TENGENEZA FAIDA KUBWA KWA KUWEKEZA NA BITCLUB ADVANTAGE*
BITCLUB ADVANTAGE

*IFAHAMU BITCLUB ADVANTAGE*

HII ni kampuni ya kimataifa inayofanya biashara ya ubadilishaji wa fedha dijitali (crypto currencies exchange)

Imelenga katika kutumia teknolojia maalumu inayowawezesha kupata faida kubwa na kugawana faida hiyo na wajasiriamali waliowekeza mitaji yao katika kampuni kwa muda wa wiki 52. Mwekezaji ataweza kutengeneza faida hadi 300% ya uwekezaji wake.

*Tofauti ya Bitclub Advantage na kampuni nyinginezo ni:*

[emoji67]‍[emoji264]Hakuna bidhaa za kutembeza au kuuza ndio ulipwe

[emoji51]Hakuna malipo ya kianzio (starter pack) bali pesa yote unayowekeza ni sehemu ya mtaji wako

[emoji39] Makato ya kila mwezi (monthly fee) ni chini ya 2.6% ya kifurushi chako

[emoji39]Vifurushi 7 vyenye gharama kuanzia $25 hadi $1999 hivyo kila mtu anaweza kuingia.

Kiwango cha chini cha kutoa (minimum withdraw) ni kuanzia $10 hadi $300 kulingana na ukubwa wa kifurushi.

[emoji651]Hakuna kiwango cha mwisho cha juu (maxmum withdraw) cha kutoa fedha zako.
Kushirikisha wengine ni hiari yako

[emoji536]Huhitaji kufungua ofisi au kuacha kazi yako ya sasa.

Ili kuanza uwekezaji wako chagua kati ya vifurushi vifuatavyo:

(malipo yanayoonyeshwa ni bila kumshirikisha yeyote, iwapo utashirikisha wengine (networking) utalipwa bonus nyingi sana)

*PACKAGES Pamoja na MALIPO YAKE* (bei zilizoonyeshwa ni pamoja na transfer charges na pia zinaweza kubadilika kutokana na thamani ya $ kwa wakati husika)
jisajili kupitia link hii Register :: Admin
1. *CLIENT PARTNER* :: 30$ (67,500tshs)
UNALIPWA $1.4 (3150Tshs) KILA WEEK,
$6.16)13,860Tshs KWA MWEZI

2. *CLIENT BASIC* : 55$ (123,750tshs)UNALIPWA $2.8(6,300tshs)/KILA WIKI,
$12.32(27,720tshs)/KWA MWEZI

3. *CLIENT BRONZE* :110$ (247,500tshs) UNALIPWA $6.75 (15,180tsh)/KWA WIKI,
, $29.7(67,000Tsh)/ KWA MWEZI.

4. *CLIENT SILVER* :270$ (607,500tshs) UNALIPWA $16.93(38,100tshs)/ KWA WIKI, $74.5(167,630tshs)/ KWA MWEZI

5. *CLIENT GOLD* :550$ (1,237,500tshs) UNALIPWA KWA WIKI $33.93(76,340 tshs) UNALIPWA
$149.3 (336,000tsh)/ KWA MWEZI

6. *CLIENT PREMIUM* :1060$ (2,385,000tshs)
UNALIPWA, $67.93(152,800tshs) /KWA WIKI , $298.9 (672,500tsh) KWA MWEZI

7. *CLIENT BLACK*: 2060$ (4,635,000tshs) UNALIPWA, $153.92(346,300tshs)/ KWA WIKI, $677.26(1,501,000tshs)/KWA MWEZI

NB:1 usd = 2,250tshs

MALIPO HAYO UTALIPWA HATA BILA KUMSHIRIKISHA MTU YEYOTE. UKIMSHIRIKISHA MTU HAPO NDO Unapata FAIDA ZAIDI MAANA KUNA *AINA 5 ZA BONUS* ZITAKAZOKUHAKIKISHIA KIPATO KIKUBWA SANA AMBACHO HUJAWAHI KUWAZIA (amini usiamini Ingia huku utajionea)

KARIBU TUKUZE KIPATO NA Tutengeneze faida maradufu kwa BIASHARA HII YA KARNE YA 21 YA CRYPTOCURRENCY TRADING KUPITIA KAMPUNI YA BITCLUB ADVANTAGE.

Kumbuka, Mkataba na bitclubadvantage ni wa mwaka mmoja (52weeks)kwa kila kifurushi utachokinunua

Pakua PDF PRESENTATION hapa[emoji116]
https://hope4.bitclubadvantage.com/downloads/bitclub_2017_en.pdf

Usipitwe na fursa hii.. Njoo mapema

•Isome vizuri fursa hii, ukiipenda njoo inbox nikusajili

•Kila unayemwingiza unapata 15% ya alichowekeza.
[emoji387][emoji385][emoji387][emoji385][emoji387]
Tajirika fasta na bitclub

Hakika itapendeza ukiwekeza kwe Bitclubadvantage!!!!!

Link ya kujisajili Register :: Admin

BITCLUB ADVANTAGE

∆Furusa hii si ya kukosa /kuacha!!!
 
TENGENEZA FAIDA KUBWA KWA KUWEKEZA NA BITCLUB ADVANTAGE*
BITCLUB ADVANTAGE
Wewe unatakiwa kuwa arrested! Unataka kutapeli watu kwa kuwaletea vikundi za utapeli vya aina ya DECI vilivyoliza baadhi ya watanzania miaka ya nyuma. Tunajadili credible financial institutions like banks, soko la hisa na government tressury bill; wewe unatuletea vi club vya matapeli?
 
Back
Top Bottom