Ushauri, njia ya kuelekea degree

KASEHUYE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
299
Reaction score
60
Naomba msaada juu ya hili...kupitia Certificate na Diploma kwenda Degree na kupitia Advanced level kwenda kusoma Degree, kipi ni bora zaidi na if possible mtoe maelezo kidogo. Shukrani sana
 
Dogo piga advance kupata chuo rahisi kwani mnapewa priority lakin ukijichanganya ukasoma makoleji yenu ya Amazon na Darstar college utakoma mdogo wangu.
 
Dogo piga advance kupata chuo rahisi kwani mnapewa priority lakin ukijichanganya ukasoma makoleji yenu ya Amazon na Darstar college utakoma mdogo wangu.

Ahsante Bro
 
Naomba msaada juu ya hili...kupitia Certificate na Diploma kwenda Degree na kupitia Advanced level kwenda kusoma Degree, kipi ni bora zaidi na if possible mtoe maelezo kidogo. Shukrani sana

sijui kwenye computer science,ila kozi nyingine kama accounts\procument ni diploma ni bora kuliko degree,kwani unaweza ukisoma degree huku anaply kazi kwa cheti cha dioma,pia kuapply degree kwa kutumia diploma ni rahisi kupata kozi unayoitaka kwani unapply chuoni instead of Tcu
 

Nimekuelewa Mkuu
 
Naomba msaada juu ya hili...kupitia Certificate na Diploma kwenda Degree na kupitia Advanced level kwenda kusoma Degree, kipi ni bora zaidi na if possible mtoe maelezo kidogo. Shukrani sana

Kwa mtazamo wangu, kama unaweza anzia cert. then diploma. Kupita advance kuna madhara ikiwa hautafaulu, utakuwa umepoteza miaka yako miwili, na hii itakulazimu kutumia cheti cha form 4. Kama una uhakika wa kufaulu advance (inawezekana), pitia advance, piga msuli wa kutosha maisha yaende.
 

Ahsante Bro Msafiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…