Nina rafiki yangu walifunga ndoa na mumewe 2002, mumewe hakuwa na kazi na elimu ya mumewe ilikuwa kidato cha nne kwakweli alimpenda mumewe kwa dhati. Mwanamke kipata chake ni kizuri (mwaajiriwa) alimpeleka mumewe shule na mpk akafikia level ya advance diploma bahati mbaya hakupata ajira mpk leo.Kwahiyo mahitaji ya ndani na kila kitu ni mwanamke. Kila akimpatia mtaji afanye biashara hela hajui anapeleka wapi na biashara hazionekani.
Mwaka 2006 mwanamke akanunua gari na kiwanja akajenga nyumba na vyote akaandika kwa jina lake(mwanamke). Maisha yakaendelea kwa amani na wakahamia ktk hiyo nyumba pamoja.
Mwaka 2010 mambo yakaanza kuharibika baada ya mwanaume kuzaa nje ya ndoa na kuanza manyanyaso kwa mkewe sababu hazai, na bahati nzuiri mwaka 2012 mwanaume akawa anasimamia biashara ya kaka yake na anapata vihela lakini mkewe haoni hata shilingi yake.
Mwanamke alipoma manyanyaso yamezidi akamwambia mwanaume tuachane, mwanaume akakubali kwa sharti wagawane mali(nyumba& gari),mwanamke hataki.
Alichofanya mwanamke akategea ameenda kulala kwa mzazi mwenzie akaleta mteja akauza nyumba na ushahidi wa jirani na mjumbe/serekali za mitaa( kwa kweli uamuzi aliufanya wa hasira sababu ameona mwanaume hakuwa na mapenzi ya dhati kwake na kwanini jasho lake akafaidi mwanamke mwingine NO).
Mwanaume kurudi kakuta geti limefungwa na mlinzi kamwambia nyumba imeuzwa. Mwanamke kaenda kupanga na kamwambia mumewe njoo tuishi nilikopanga tuanze maisha, mwanaume kagoma na kaenda kufungua kesi mahakamani?
Je mwanamke huyu atashinda kesi? au afanye jasho lake lisipotee?
Mwaka 2006 mwanamke akanunua gari na kiwanja akajenga nyumba na vyote akaandika kwa jina lake(mwanamke). Maisha yakaendelea kwa amani na wakahamia ktk hiyo nyumba pamoja.
Mwaka 2010 mambo yakaanza kuharibika baada ya mwanaume kuzaa nje ya ndoa na kuanza manyanyaso kwa mkewe sababu hazai, na bahati nzuiri mwaka 2012 mwanaume akawa anasimamia biashara ya kaka yake na anapata vihela lakini mkewe haoni hata shilingi yake.
Mwanamke alipoma manyanyaso yamezidi akamwambia mwanaume tuachane, mwanaume akakubali kwa sharti wagawane mali(nyumba& gari),mwanamke hataki.
Alichofanya mwanamke akategea ameenda kulala kwa mzazi mwenzie akaleta mteja akauza nyumba na ushahidi wa jirani na mjumbe/serekali za mitaa( kwa kweli uamuzi aliufanya wa hasira sababu ameona mwanaume hakuwa na mapenzi ya dhati kwake na kwanini jasho lake akafaidi mwanamke mwingine NO).
Mwanaume kurudi kakuta geti limefungwa na mlinzi kamwambia nyumba imeuzwa. Mwanamke kaenda kupanga na kamwambia mumewe njoo tuishi nilikopanga tuanze maisha, mwanaume kagoma na kaenda kufungua kesi mahakamani?
Je mwanamke huyu atashinda kesi? au afanye jasho lake lisipotee?


