covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Niende kwenye mada mojakwamoja Nimestack wakuu mimi najishughulisha na kusupply vifaa mbalimbali.
Sasa toka mwezi October nilianza kufanya usambazaji wa bidhaa kwa wateja ila hadi kufika mwezi huu oda zimekuwa nyingi kuzidi mtaji na teyari nimepokea oda mpya na nimehadi kupeleka bidhaa kwa wakati kwa wateja.
Sina vyanzo vingi vya kupata mkopo hili ndio linaniumiza akili.
Naomba Ushauri
1. Nawaza niwataarifu wateja kuwa sitaweza kudeliver bidhaa zao tena sababu ya mtaji na je si nitawapoteza alafu itakuwa haina maana ya hiki ninachofanya biaashara haitakuwa.
2. Wapi naweza kupata pesa ili nibust mtaji na niendelee kusabaza bidhaa kama kawaida kwa wateja wangu..
Naombeni ushauri wenu wakuu..
Sasa toka mwezi October nilianza kufanya usambazaji wa bidhaa kwa wateja ila hadi kufika mwezi huu oda zimekuwa nyingi kuzidi mtaji na teyari nimepokea oda mpya na nimehadi kupeleka bidhaa kwa wakati kwa wateja.
Sina vyanzo vingi vya kupata mkopo hili ndio linaniumiza akili.
Naomba Ushauri
1. Nawaza niwataarifu wateja kuwa sitaweza kudeliver bidhaa zao tena sababu ya mtaji na je si nitawapoteza alafu itakuwa haina maana ya hiki ninachofanya biaashara haitakuwa.
2. Wapi naweza kupata pesa ili nibust mtaji na niendelee kusabaza bidhaa kama kawaida kwa wateja wangu..
Naombeni ushauri wenu wakuu..