GRAYSON PATRICK
Member
- Jul 12, 2013
- 27
- 2
Habari zenu wana jf najua humu kuna watu waliosoma pcm na wanaoifahamu pcm mnaweza kunisaidia kunishauri jinsi ya kuimudu hii combination
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante sana kakaKusoma kwa bidii,kuwa na vitabu vizuri,twisheni kwa sana tena kwa walimu waliobobea,kujitambua kuwa umefuata nini shuleni,usiwe na mpenzi maana anaweza kukuchanganya,kuheshimu walimu wako,kucover sylabus,
NB,
Chunga sana physics ndo mbaya zaidi.
asante sana kwa ushauri wakoChunga sana Physcs ndo inatishia aman hapo ,huko kwngne ni bidii yako tu na discussion kwa wng..
usidharau somo maana wengi hudharau na kuipuuzia chemia.
asante kwa ushauri wako wa kutia moyo na hamasaNdugu wapaswa kuwa mjuzi sana wa mathematics,na hii haihitaji uzembe bali wapaswa kuwa mfuatiliaji kwa kusolve maswali mengi daily.Pia nakushauri ukave syllabus mapema kwa kusoma matuition na kwa kupiga msuli yatima kwa sababu PCM inahitaji kujipanga mapema kwa ajili ya full solving kwani hapo utadeal sana na macalculation.Nami nakushauri pia;Kuwa makini sana na PHYSICS na usiisahau CHEMISTRY kama wafanyavyo maPCM wengi.Soma na ka GS banaa usijepata III point 6 kama ndugu zako wa mwaka huu.NB: PCM INAONGOZA KWA KUTOA ONE KALI NA VILE VILE INAONGOZA KWA KUTOA ZERO KALI NA NYINGI,tafakari chukua hatua!
asante kaka ngoja mie nkakomae.PCM kitu cha muhimu hakikisha Maths inapanda vizuri ila kwa upande wa Physics jitahidi kuimudu Mechanics maana 70% ya maswali msingi wake ni hapo. Chemistry cheza na Physical then Organic na inoiganic kwa kua General inaeleweka.
Usisahau GS.
asante kaka ngoja mie nkakomae.
vipi kuhusu chandy sababu nimeshanunua chandy.Vilevile kwa Physics ukipata kitabu kinaitwa Advanced Level Physics (7th edition) kimeandikwa na watu wawili M. Nelkon & P. Parker kitakusaidia sana, kitabu hiki kinajulikana sana kwa jina la Nelkon (sijui kwa nini)