Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Ni kiu yangu kuona uwanja wa Uhuru ukiwa na taa km ilivyo uwanja wa Mkapa, au Azam Complex.Lengo baadhi ya mechi zinazopangwa kuchezwa pale uhuru saa 8 mchana basi zichezwa usiku. Kucheza mechi kwenye " Artificial Pitch" saa 8 au hata saa 10 jioni ni mateso kwa wachezaji.