Umelipia zile bia mkuuSalaam wakuu, niende kwenye tatizo langu.Kwenye harakati zangu zakujenga nchi, juzi tar23 may nikafanikiwa kulipwa na bosi wangu ujira unaotokana na jasho langu.
Nilipanga kufanya matumizi kadhaa nakubakiwa na akiba Kama kanuni zinavyotutaka ku save.
Cha ajabu Leo nimekaa na kadaftari na calculator ili nipitie matumizi yote nilofanya.Katika hesabu hizo nimegundua 104k haipo na haijatumika kabisa.
Nipo hapa kitandani kichwa kinagonga naombeni Ushauri labda Kuna namna zakimiujiza huwa zinajitokeza Kweny issues Kama hizi.
Nawasilisha
Wewe mbona hukuweka picha ya PRUTABLE.Wanakuja ila shida uzi hauna picha
Hamna sangoma humuSalaam wakuu, niende kwenye tatizo langu.Kwenye harakati zangu zakujenga nchi, juzi tar23 may nikafanikiwa kulipwa na bosi wangu ujira unaotokana na jasho langu.
Nilipanga kufanya matumizi kadhaa nakubakiwa na akiba Kama kanuni zinavyotutaka ku save.
Cha ajabu Leo nimekaa na kadaftari na calculator ili nipitie matumizi yote nilofanya.Katika hesabu hizo nimegundua 104k haipo na haijatumika kabisa.
Nipo hapa kitandani kichwa kinagonga naombeni Ushauri labda Kuna namna zakimiujiza huwa zinajitokeza Kweny issues Kama hizi.
Nawasilisha
Ulitakiwa kutumia 'Kadaftari' na calculator kabla hujaanza matumizi ya fedha yako, Hili ndio funzo unapaswa kulishika kuanzia sasa.Cha ajabu Leo nimekaa na kadaftari na calculator ili nipitie matumizi yote nilofanya.
Kanuni inakutaka ku_save kiasi cha pato lako kabla ya matumizi, na sio baada ya matumizi.Kama kanuni zinavyotutaka ku save.