sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,001
Salaam wakuu, niende kwenye tatizo langu. Kwenye harakati zangu zakujenga nchi, juzi tar23 may nikafanikiwa kulipwa na bosi wangu ujira unaotokana na jasho langu.
Nilipanga kufanya matumizi kadhaa nakubakiwa na akiba Kama kanuni zinavyotutaka ku save. Cha ajabu leo nimekaa na kadaftari na calculator ili nipitie matumizi yote nilofanya. Katika hesabu hizo nimegundua 104k haipo na haijatumika kabisa.
Nipo hapa kitandani kichwa kinagonga naombeni Ushauri labda kuna namna zakimiujiza huwa zinajitokeza kwenye issues Kama hizi.
Nawasilisha
Nilipanga kufanya matumizi kadhaa nakubakiwa na akiba Kama kanuni zinavyotutaka ku save. Cha ajabu leo nimekaa na kadaftari na calculator ili nipitie matumizi yote nilofanya. Katika hesabu hizo nimegundua 104k haipo na haijatumika kabisa.
Nipo hapa kitandani kichwa kinagonga naombeni Ushauri labda kuna namna zakimiujiza huwa zinajitokeza kwenye issues Kama hizi.
Nawasilisha