Du! kumbe na wewe umekula age kama mimi? mmmhh!Huu uzi unanikumbusha mbali sana, kuna ile nyimbo ilikuwa inaimbwa hivi.
Huyu niliyeoa, sina la kusema
Mshahara nikipata
Bajeti apange yeye
Anajenga nyumba kwao
Mimi kwangu midabwada
Mimi naona ampe muda wa kujirekebisha.
Kuna jamaa yangu leo amegunduwa kuwa mkeo huwa anatabia ya wizi pesa anazotoa za matumizi anapeleka kwao. Na gharama za nyumbani zimepanda lakini huduma na chakula ni kile kile leo katika pekua pekua zake kakuta laki moja chini ya meza na jana tu mkewe alikuwa analalamkika kuwa pesa haitoshe anayo acha aongeze kila akifika stori ni pesa pesa. Yeye ameamuwa ampe talaka arudi kwao mimi nimemshauri ampe nafasi nyingine ya kujirekebisha, jee nyie mnamshauri nini??????
Kuna jamaa yangu leo amegunduwa kuwa mkeo huwa anatabia ya wizi pesa anazotoa za matumizi anapeleka kwao. Na gharama za nyumbani zimepanda lakini huduma na chakula ni kile kile leo katika pekua pekua zake kakuta laki moja chini ya meza na jana tu mkewe alikuwa analalamkika kuwa pesa haitoshe anayo acha aongeze kila akifika stori ni pesa pesa. Yeye ameamuwa ampe talaka arudi kwao mimi nimemshauri ampe nafasi nyingine ya kujirekebisha, jee nyie mnamshauri nini??????
Inawezekana huyu mumewe huwa hana muda mzuri wa kukaa na mkewe na kudiscuss matatizo/mahitaji ya pande zote mbili. Na pia inawezekana mkewe huyo hana ajira na hana namna yoyote ya kumuingizia kipato nje na hela ya mboga anayoachiwa. Hivyo yumkini mkewe kaamua kutumia utaratibu huo ili kusaidia wazazi na ndugu wa upande wake. Ushauri: Mwambie jamaa awe karibu na mkewe na kumhoji kwa nini anachukua pesa na kupeleka kwao bila taarifa, na kuyasolve mambo haya kwa hekima zaidi kuliko kukimbilia talaka. Nani aliyewaambia talaka ndiyo suluhisho pekee la matatizo ya ndoa??
Ukiona mwanamme anauliza chenji ya nyanya, si mwanamme timamu.
Hivi unamwacha mkeo kila siku, unataka hadi hela ya pedi akuombe?
kama mnakula kama kawaida na anasaidia kwao kunashida gani?
Uchoyo wa aina gani huo?
Hivi unadhani unioe uniweke mama wa nyumbani sina hata genge la nyanya, nitaacha kupiga panga niwasaidie kwetu?
Hivi unadhani umenikuta mtu mzima, nimetokea shimoni?
Sina uchungu na wazazi wangu? Niwaone wanalala njaa mie najichana, nitakuw MWEHU WA KARNE.
Tatizo baadhi ya wanamme wana uchoyo wa chakula sana, hii ni aibu ya mwaka na wala si ya kuongea mabele za watu.
Kama chakula tu ni tatizo, kusomesha watoto je?
Mpe mkeo kahela ka matumizi yake binafsi kama utaona anakata panga hela ya nyumbani kwako.
Big up sana kwa huyo dada, ndo maana nasema ukizaa binti umezaa asset hatakuacha ulale njaa, wana akili ya kujiongeza. Mwanamme aah anajali kwake na mkewe tu.
Kuna jamaa yangu leo amegunduwa kuwa mkeo huwa anatabia ya wizi pesa anazotoa za matumizi anapeleka kwao. Na gharama za nyumbani zimepanda lakini huduma na chakula ni kile kile leo katika pekua pekua zake kakuta laki moja chini ya meza na jana tu mkewe alikuwa analalamkika kuwa pesa haitoshe anayo acha aongeze kila akifika stori ni pesa pesa. Yeye ameamuwa ampe talaka arudi kwao mimi nimemshauri ampe nafasi nyingine ya kujirekebisha, jee nyie mnamshauri nini??????
Ukute analisha mume mwenza. . . . Kaaaazi kweli kweli.