Kuna jamaa yangu leo amegunduwa kuwa mkeo huwa anatabia ya wizi pesa anazotoa za matumizi anapeleka kwao. Na gharama za nyumbani zimepanda lakini huduma na chakula ni kile kile leo katika pekua pekua zake kakuta laki moja chini ya meza na jana tu mkewe alikuwa analalamkika kuwa pesa haitoshe anayo acha aongeze kila akifika stori ni pesa pesa. Yeye ameamuwa ampe talaka arudi kwao mimi nimemshauri ampe nafasi nyingine ya kujirekebisha, jee nyie mnamshauri nini??????