Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Enzi za Dk Slaa Chadema yetu ilikuwa na heshima kubwa kwenye jamii yetu kama chama cha ukombozi ambacho kinapinga ufisadi na maonevu ya kila namna.
Happa kati tulipoteza muelekeo na kuyumba kisiasa.
Tunatakiiwa kuwa na mtu kama Polepole ili kurudisha heshima ya chama chetu kama chama kinachopinga ufisasi.
Nawakilisha.
Happa kati tulipoteza muelekeo na kuyumba kisiasa.
Tunatakiiwa kuwa na mtu kama Polepole ili kurudisha heshima ya chama chetu kama chama kinachopinga ufisasi.
Nawakilisha.