Ushauri: Polepole hamia CHADEMA ili urejeshe heshima ya CHADEMA kama chama kinachopinga ufisadi

Ushauri: Polepole hamia CHADEMA ili urejeshe heshima ya CHADEMA kama chama kinachopinga ufisadi

Enzi za Dk Slaa Chadema yetu ilikuwa na heshima kubwa kwenye jamii yetu kama chama cha ukombozi ambacho kinapinga ufisadi na maonevu ya kila namna.

Happa kati tulipoteza muelekeo na kuyumba kisiasa.

Tunatakiiwa kuwa na mtu kama Polepole ili kurudisha heshima ya chama chetu kama chama kinachopinga ufisasi.

Nawakilisha.
Hawezi kufanya hivo cos anawajua vizuri
 
Enzi za Dk Slaa Chadema yetu ilikuwa na heshima kubwa kwenye jamii yetu kama chama cha ukombozi ambacho kinapinga ufisadi na maonevu ya kila namna.

Happa kati tulipoteza muelekeo na kuyumba kisiasa.

Tunatakiiwa kuwa na mtu kama Polepole ili kurudisha heshima ya chama chetu kama chama kinachopinga ufisasi.

Nawakilisha.
Wewe na yeye huko CCM mumeshaharibu hamieni TLP.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom