leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,599
- 2,161
Ni zaidi ya miezi minne tupo kwenye mahusiano. Kuhusu kunipenda sina mashaka nae kwa hilo.
Cha ajabu kila nikimchombeza huishia kununa, nimeshatoka jasho zaidi ya mara tano kumlazimisha ku-do kwenye 6*6.
Nimeshamtangazia mpaka ndoa mola akijalia lakini wapi, hataki kutoa.
Nimekuwa nikimuweka sawa kisaikolojia lakini akishaona nachojoa nguo anakuwa kama mbogo.
Ananiambia hilo ni tatizo lake la asili tangu zamani na wanaume wamekuwa hawamuelewi na kuishia kumuacha.
Mimi nimechoka, kabla sijamuacha hebu wana jamvi nipeni ushauri wenu.
Cha ajabu kila nikimchombeza huishia kununa, nimeshatoka jasho zaidi ya mara tano kumlazimisha ku-do kwenye 6*6.
Nimeshamtangazia mpaka ndoa mola akijalia lakini wapi, hataki kutoa.
Nimekuwa nikimuweka sawa kisaikolojia lakini akishaona nachojoa nguo anakuwa kama mbogo.
Ananiambia hilo ni tatizo lake la asili tangu zamani na wanaume wamekuwa hawamuelewi na kuishia kumuacha.
Mimi nimechoka, kabla sijamuacha hebu wana jamvi nipeni ushauri wenu.