Ushauri p'se: Hataki Kamchezo Ketu..!!

Ushauri p'se: Hataki Kamchezo Ketu..!!

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,599
Reaction score
2,161
Ni zaidi ya miezi minne tupo kwenye mahusiano. Kuhusu kunipenda sina mashaka nae kwa hilo.

Cha ajabu kila nikimchombeza huishia kununa, nimeshatoka jasho zaidi ya mara tano kumlazimisha ku-do kwenye 6*6.

Nimeshamtangazia mpaka ndoa mola akijalia lakini wapi, hataki kutoa.

Nimekuwa nikimuweka sawa kisaikolojia lakini akishaona nachojoa nguo anakuwa kama mbogo.

Ananiambia hilo ni tatizo lake la asili tangu zamani na wanaume wamekuwa hawamuelewi na kuishia kumuacha.


Mimi nimechoka, kabla sijamuacha hebu wana jamvi nipeni ushauri wenu.
 
subiri ndoa mkuu, ukiona mdada ni mwepec kukuvulia nguo jua huyo hakufai hata kidogo. hebu vuta subira!
 
Kama unampenda na unaamini anakupenda hilo sio tatizo la kufanya umuache..
 
Kama unampenda na unaamini anakupenda hilo sio tatizo la kufanya umuache..

Ndugu tutaendeleaje katika hali hii huku mimi nikiwa sijui UPANDE WA PILI WA SHILINGI WA MWENZANGU..?
 
Vuta subra anakucheki tabia.. Ahahhahaah


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Ni zaidi ya miezi minne tupo kwenye mahusiano. Kuhusu kunipenda sina mashaka nae kwa hilo.

Cha ajabu kila nikimchombeza huishia kununa, nimeshatoka jasho zaidi ya mara tano kumlazimisha ku-do kwenye 6*6.

Nimeshamtangazia mpaka ndoa mola akijalia lakini wapi, hataki kutoa.

Nimekuwa nikimuweka sawa kisaikolojia lakini akishaona nachojoa nguo anakuwa kama mbogo.

Ananiambia hilo ni tatizo lake la asili tangu zamani na wanaume wamekuwa hawamuelewi na kuishia kumuacha.


Mimi nimechoka, kabla sijamuacha hebu wana jamvi nipeni ushauri wenu.


mpo kwenye mahusiano gani??? wewe unampenda kama anavyokupenda??? ulishawahi kuuliza kwanini hataki unachotaka kwa sasa?? unahisi utapungukiwa nini mkipendana kwa mambo mengine kwa sasa hadi atakapoamua kukupa mwenyewe??? Miezi minne tu unataka mzigo??? ...angalia usije kumkosa kwa kuwa huyo dada, inaonekana amekutana na mazingira ya kuwa katika mahusiano na wanaume kama wewe (kwamba wapo kumtamani tu na kumtumia then waishie)... nakushauri jifanye kama hilo swala kwako huna haraka nalo kabisa, ili awe huru, furaha na amani...then utaona... mwenyewe atakupa atakapokuwa tayari.(cha kupewa ni kitamu kuliko cha kuomba na kulazimisha).
 
Vuta subra anakucheki tabia.. Ahahhahaah


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD

Ananicheki mwezi wa nne huu...Mbona karibu mambo yangu yote anayajua?
 
mpo kwenye mahusiano gani??? wewe unampenda kama anavyokupenda??? ulishawahi kuuliza kwanini hataki unachotaka kwa sasa?? unahisi utapungukiwa nini mkipendana kwa mambo mengine kwa sasa hadi atakapoamua kukupa mwenyewe??? Miezi minne tu unataka mzigo??? ...angalia usije kumkosa kwa kuwa huyo dada, inaonekana amekutana na mazingira ya kuwa katika mahusiano na wanaume kama wewe (kwamba wapo kumtamani tu na kumtumia then waishie)... nakushauri jifanye kama hilo swala kwako huna haraka nalo kabisa, ili awe huru, furaha na amani...then utaona... mwenyewe atakupa atakapokuwa tayari.(cha kupewa ni kitamu kuliko cha kuomba na kulazimisha).

​Lakini yeye anasema huu kwake ni kama ugonjwa, anapenda ku-do, ila ikifika stage hiyo anapatwa na hasira ghafla....
 
​Lakini yeye anasema huu kwake ni kama ugonjwa, anapenda ku-do, ila ikifika stage hiyo anapatwa na hasira ghafla....

Kuna past experience anazokumbuka kuhusiana na huo "mchezo" wenu... hivyo mvumilie kwa sasa na jaribu kwenda naye kwa washauri na hospital apte matibabu ya kisaikolojia, pia usitumie mazingira ambayo mmezoea kutaka kuanza naye hako kamchezo, vilevile usimshtukize kutaka ku-do... unaweza kuanza kuchat naye kwenye simu ili walau kumuandaa akilini kwanza, kwenda kuchezacheza naye sehemu tulivu kama beach, au kwenye garden nzuri, kucheza naye kwenye mvua, kunywa kinywaji katika chupa au glass moja, na kuongeza kumpetipeti anaweza kuanza kuzoea.... mwisho nashauri muulize au uliza watu wake wa karibu kuhusu hisroria yake ya kimahusiano.
 
​lakini yeye anasema huu kwake ni kama ugonjwa, anapenda ku-do, ila ikifika stage hiyo anapatwa na hasira ghafla....

force game tu mkuu madem wengine ndo washazoea kulazimishwa....ukimuacha utaonekana kibisa
 
ndo akina mama wanaambiwa chungeni vitovu vya watoto wanajidai uzungu.
Anyway, hapa sitaingia sana.

Kuna wale watu huwa hawana K, labda anajijua yuko hivyo ila anashindwa kukuambia.

Matatizo ya kisaikolojia, labda aliwahi bakwa???

Huwezi msaidia kama hajafunguka kukupa ukweli.
 
​Lakini yeye anasema huu kwake ni kama ugonjwa, anapenda ku-do, ila ikifika stage hiyo anapatwa na hasira ghafla....

hasa kumbe leroy unajua tatizo sa why dont you seek for medical attention? yawezekana alipobikiriwa was hard kiasi kwamba akikumbua yu aumia. and this huwapata mabinti wengi sana kama aliyekubikir hajui alikua yuko na hasira hakukuandaa vizur definately unaambulia maumivu tu ambayo mwishowe yanakutia jeraha la kila nikijaribu hakuna raha ni maumivu tu.

to me nenda naye taratibu tu wala usilazimishe najua akiwa ndani ya ndoa lazima akupe tu manake ndo kazi iliyo mleta kwako. atakuwa kado siku moja tu huyo na yenyewe ilikuwa mbaya sana kwake. play with her psych
 
ndo akina mama wanaambiwa chungeni vitovu vya watoto wanajidai uzungu.
Anyway, hapa sitaingia sana.

Kuna wale watu huwa hawana K, labda anajijua yuko hivyo ila anashindwa kukuambia.

Matatizo ya kisaikolojia, labda aliwahi bakwa???

Huwezi msaidia kama hajafunguka kukupa ukweli.

i was reding this from down it came to ma head that this is Kongosho, and real at the top i proved it. nimecheka sana kumbe kitovu kikidondokea K inaondoka?
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha, kitovu hakipotezi K, ila anaogopa ku du tu.

Kuna wengine wanakuwa hawana K, hakuna sehemu ya mzee kulala, hilo nalo ni tatizo tofauti.

i was reding this from down it came to ma head that this is Kongosho, and real at the top i proved it. nimecheka sana kumbe kitovu kikidondokea K inaondoka?
 
Last edited by a moderator:
ndo akina mama wanaambiwa chungeni vitovu vya watoto wanajidai uzungu.
Anyway, hapa sitaingia sana.

Kuna wale watu huwa hawana K, labda anajijua yuko hivyo ila anashindwa kukuambia.

Matatizo ya kisaikolojia, labda aliwahi bakwa???

Huwezi msaidia kama hajafunguka kukupa ukweli.
Kongosho kuna mtu namjua aliwah kukutana na K iliyokaa horizontal badala ya vertical. Aisee kama kuna kitu sitakaa nisahau ni huu upumbavu yaani pale UDSM maicampus enzi hizo it was full of funny. Alikimbia pasi kuvaa kitu. Dah! yaani naandika nikiwa nacheka manake ilikuwa ni kituko cha mwaka enzi hizo.
 
Last edited by a moderator:
ndo akina mama wanaambiwa chungeni vitovu vya watoto wanajidai uzungu.
Anyway, hapa sitaingia sana.

Kuna wale watu huwa hawana K, labda anajijua yuko hivyo ila anashindwa kukuambia.

Matatizo ya kisaikolojia, labda aliwahi bakwa???

Huwezi msaidia kama hajafunguka kukupa ukweli.

Hapana Kongosho, 'k' anayo. Hili sina wasiwasi....!! Nilishawahi kupima OIL..!
 
ha ha ha, kitovu hakipotezi K, ila anaogopa ku du tu.

Kuna wengine wanakuwa hawana K, hakuna sehemu ya mzee kulala, hilo nalo ni tatizo tofauti.

hivi wewe sasa ina maana hakuna mashavu ni kitobo tu? lol hili na lenyewe ni tatizo lakini ni dogo manake waweza kutengeneza mashavu kwa plastic surgery na yakawa mazuri na nywele zake. ngoja siku nikifurahi nitakupm nkupe a true story moja ya mtu aliyekuwa hemaphrodite halafu wakaua prominent sex wakabakiza ile weak lol aliteseka sana huyu mtu lkn wahaind waliitahd kumremba akafanana na jinsia husika, but kazi haikuweza kufanya.
 
Back
Top Bottom