Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaSio mshari tu, Bali ana dalili zote za changamoto ya akili, "uwezo wa kufikiri" ,kwa aliye mzima angekuwa mtu wa kushukuru kupangishiwa nyumba nzima na angekuwa mzvumilivu ili mume wake ajipange awe sawa kama awali.
Mwanamke anaweza kuwa boss ila mpumbavuHuyo mwanamke na yule mzazi mwenzie dotto Magari wako so typical. Nashukuru Mungu sijazaa na mwanamke mpumbavu hata mmoja na kama ntazaa nje ya ndoa basi ntahakikisha nimezaa na mwanamke ambaye ni boss mwenye maisha yake timamu.
Mwalimu sio boss ni fukara tu wa aina yake. Nazungumzia Corporate Ladies walioko more exposed. Mwanamke anaetokea kwenye familia inayojitambua ni muhimu sana.Kaka
Mwanamke anaweza kuwa boss ila mpumbavu
Ndo km huyu, mwalimu mzima anakuwa mpumbavu!
Ss ht km angekuwa ameolewa na huyo mwanaume hela yake kwani isingetumika?
Km sio kutaka kumkomoa tu huyo mwanaume?
Angemuelewa huyo anaetoa ht kidogo akipngeza na zake, huyo mwanaume mambo yangekaa vzr asingemuacha
Walimu ni changamoto, Nimeapa kwa watoto wangu wa kiume na kike nisije sikia mtoto analeta mchumba eti mwalimu katika huu uhai wangu..., labda mm sio baba yao.Kaka
Mwanamke anaweza kuwa boss ila mpumbavu
Ndo km huyu, mwalimu mzima anakuwa mpumbavu!
Ss ht km angekuwa ameolewa na huyo mwanaume hela yake kwani isingetumika?
Km sio kutaka kumkomoa tu huyo mwanaume?
Angemuelewa huyo anaetoa ht kidogo akipngeza na zake, huyo mwanaume mambo yangekaa vzr asingemuacha
Tatzo akil kdg, mihemko mingiNdo maana Mpwayungu Village anawadharau walimu
Mwalim Gani huyu mpuuzi kabisa
Sahii kabisa, jamaa sio kwamba hatoi Bali mwanamke ndo haridhikiKaka
Mwanamke anaweza kuwa boss ila mpumbavu
Ndo km huyu, mwalimu mzima anakuwa mpumbavu!
Ss ht km angekuwa ameolewa na huyo mwanaume hela yake kwani isingetumika?
Km sio kutaka kumkomoa tu huyo mwanaume?
Angemuelewa huyo anaetoa ht kidogo akipngeza na zake, huyo mwanaume mambo yangekaa vzr asingemuacha
Kuna wana wamelaaniwa KImagine jmn.
Yaani mtu una kesi ,huna hela ,kazi umesimama Bado una hamu ht ya kutongoza na kulala na mchepuko?
Huna kinachokubana kwann usiende Kwa mkeo kwanza mpk mambo yayakapokaa sawa?.
doohBado yupo
Hao unaodhani wapo kwenye Ndoa unajua wanayofanya na yanayowatokea kama familia, why mmewapachika majina single maza and single dadi?.Ndio shida ya mwafrika, kutombatomba hovyo
Okay 🤣Mwalimu sio boss ni fukara tu wa aina yake. Nazungumzia Corporate Ladies walioko more exposed. Mwanamke anaetokea kwenye familia inayojitambua ni muhimu sana.
Kwanza mi silei mtt wa mtuMimi hapa namhurumia mke wa jamaa. Usikute alikuwa anafanya mpaka kazi za ziada kusapoti familia huku akijua mwenzie ana matatizo kazini....yani wanaume jamani! Una una matatizo kazini anaona haitoshi anatafuta mchepuko, anaona haitoshi anaupeleka mchepuko wake mpaka nyumbani. Anazaa nao kabisa. Halafu kuna watu humu wanashauri eti amwambie kisha ampelekee huyo mke watoto amlelee. Hivi watu wanaelewa kweli kiwango cha usaliti aliofanyiwa huyu mama na atakavyojisikia? Aisee mwanaume akijisikia kukukera anakupa full dozi ya kero
Huu ndio ushauri angalau mzuri. Angekuwa na dada yake akakubali kuwapokea watoto. Au bibi Yao may be.Mshikaji ana mzazi/mlezi wa kike aliye hai na mwenye nguvu ya kumsaidia kulea watoto mpaka wafikie umri wa kuanza shule? Kama ndiyo, awaombe wamsaidie. Atoe taarifa kazini na ustawi wa jamii wasitishe makato, then aachane na huyo malaya.
Duh Wana umri Gani?Bado yupo
🤣🤣JmnWalimu ni changamoto, Nimeapa kwa watoto wangu wa kiume na kike nisije sikia mtoto analeta mchumba eti mwalimu katika huu uhai wangu..., labda mm sio baba yao.