Umemalizaaaa... Wanasema atua ya kwanza ya mafanikio ya mwanaume ni kuweza kucontrol Nyege zake...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukiweza hilo umefanikiwaaaKiukweli wanaume wengi tunaponzwa na nyege
πππ
Huyu mwanamke anataka akakae mjengo anaokaa jamaa na wala sio kwamba anampenda jamaa......mwanamke anataka amiliki mjengo na watoto wake.Kwani mwalimu sio mwanamke kama mwanamke mwengine atayetamani naye kuitwa mrs jamaa? Shida sio ualimu, shida kila mwanamke ambaye ni mchepuko huwa anatamani kuwa mke kama aliyemkuta! Na ndo maana visa haviishi kwa hao michepuko wenu, kwa waganga hawatulii wawapumbaze hadi muwakane watoto wenu wa ndoa,....huyu shemejiye DeepPond anaonekana shida yake avuruge hadi waachane na mke yeye ndo aolewe na ndio maana aliona kakomesha jamaa kukatwa ela kubwa akaridhika akahisi kutakuwa na amani na jamaa ataendelea naye kwakuwa hakuna kelele za matunzo, jamaa kakata mahusiano anaona ampelekee watoto ili avuruge zaidi mkewe ajue waachane labda jamaa amrudie mchepuko na hapo kwa waganga kaenda saana hajapata suluhu....nyie wanaume mnayatafutaga wenyewe
Ha ha ha...kichwa Cha chini kukidhibiti Ni mtihani shehe, hasa pale wadhungu wwnapotaka kutoka[emoji2]Umemalizaaaa... Wanasema atua ya kwanza ya mafanikio ya mwanaume ni kuweza kucontrol Nyege zake...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukiweza hilo umefanikiwaaa
Jamaa yako hapo anapoishi apangishe yeye akaishi kwingineko- atoe taarifa ustawi na kazini kwake hlf watoto awapeleke kwa Bibi yao au Shangazi yao wakamsaidie kuwalea.Ha ha ha...kichwa Cha chini kukidhibiti Ni mtihani shehe, hasa pale wadhungu wwnapotaka kutoka[emoji2]
MrejeshoKuna jamaa yangu Ni mkandarasi serikalini, mkewe Ni mtendaji. walijenga hapa Dar baadae jamaa kaja kuhamishiwa mkoani kikazi, ikabidi mkewe nae kikazi ahamie huko huko mkoani wilaya alipo Mumewe. Hivyo nyumba Yao ya Hapa Dar wakaipangisha.
Mwaka juzi jamaa alikuja kupata kesi fulani uko kazini kwake mkoani, hivyo nafasi yake akateuliwa mtu mwingine, nae akatakiwa kuripoti makao makuu Mara Moja, ila matumaini ya jamaa Ni kwamba atapangiwa majukumu mengine.
Hivyo Jamaa hakuona umuhimu wa Kurud Dar na familia nzima akisubiri kujua atapangiwa wapi Tena. Hivyo nae akatafuta nyumba nyingine akapanga hapa hapa Dar, mkewe akimuacha kule kule mkoani.