Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

Ni kweli mkuu,ttzo la madam Ni kupenda ligi ambayo anajua kamwe hawez shinda
Tangu niijue thamani yangu huu ndio msimamo wangu katika mapenzi;
1. Nampenda anipendaye kwa dhati

2. Akizingua simbembelezi ayapiganie mahusiano mwenyewe

3. Nikikosea naomba msamaha wa dhati ukizingua kusamehe ndio imetoka.

Biashara ya kulazimisha mahusiano au kuogopa kwangu ishapitwa na wakati.

To yeye anakwambia raha ya mapenzi ni nyege zako
 
Tangu niijue thamani yangu huu ndio msimamo wangu katika mapenzi;
1. Nampenda anipendaye kwa dhati

2. Akizingua simbembelezi ayapiganie mahusiano mwenyewe

3. Nikikosea naomba msamaha wa dhati ukizingua kusamehe ndio imetoka.

Biashara ya kulazimisha mahusiano au kuogopa kwangu ishapitwa na wakati.

To yeye anakwambia raha ya mapenzi ni nyege zako
Ivo yaan😘😘
 
Back
Top Bottom