Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuunga mkonoKausha Damu ni hatari kwa afya ya mwanaume....
Walizini watu wawili kumbuka hiloHaya ndio matunda ya uzinzi.
Pole zake.
Wote wawili wako na matatizo. Lkn moto unamuwakia zaidi mwanaume.Walizini watu wawili kumbuka hilo
Hata hivyo jamaa ameilegeza kwa kutoa mapachaSingle maza kawakilisha vyema🤣🤣🤣
Niamini mwanaume hajawahi kuaibika engo hiyo.Wote wawili wako na matatizo. Lkn moto unamuwakia zaidi mwanaume.
Hao wacha kila mmoja apambane na hali yake wavune walichokipanda.Niamini mwanaume hajawahi kuaibika engo hiyo.
Hapo atalitatua kwa hali na mali, na uchumi utarejea lkn upande wa mwalimu historia imebadilika na ajicheza ndoa inaweza kuwa ngumu...
Ingekuwa mimi nalea wanangu lkn mama yao asiwasogolee tena, apotee hivyo hivyo, kazini natoa taarifa mshahara usikatwe tena.Hao wacha kila mmoja apambane na hali yake wavune walichokipanda.
Kama anauwezo wa kumlipia nyumba nzima mchepuko then atafute mtu mzima mmama awe nani amlelee watoto simple tu ahakikishe Kila kitu ndani kipo then ayajenge na mkewe when watoto washavuka angalao five yearsDah! Jamaa kawa Kama vile kachanganyikiwa
Mwanaume hata akimbiwe na mke, uchumi ukikaa mahali pake atang'oa hata bikra wa 17yrs.Sahii kabisa,apa ataeumia Zaid Ni ke
Aisee hatari sanaaMabinti wa kizazi hiki ni changamoto sana
Tangu niijue thamani yangu huu ndio msimamo wangu katika mapenzi;Ni kweli mkuu,ttzo la madam Ni kupenda ligi ambayo anajua kamwe hawez shinda
Ivo yaan😘😘Tangu niijue thamani yangu huu ndio msimamo wangu katika mapenzi;
1. Nampenda anipendaye kwa dhati
2. Akizingua simbembelezi ayapiganie mahusiano mwenyewe
3. Nikikosea naomba msamaha wa dhati ukizingua kusamehe ndio imetoka.
Biashara ya kulazimisha mahusiano au kuogopa kwangu ishapitwa na wakati.
To yeye anakwambia raha ya mapenzi ni nyege zako
Unaweza kujitutumua sana kuwa nna mpenzi kumbe mwenzio anakuona business partner tu.Ivo yaan😘😘