Nyamatare1987
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 416
- 493
Labda wameshamuwekea sumu kama wale watu wa karibu wengine na Magu,kama aliweza kumuwekea Sumu Lowasa anashindwa nini kwa hawa wengine😂😂😂Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.
Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.
Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Nitafurahi sana na nitachinja mbuzi😂😂😂Mama ndumbi aka chief Hangaya unahisi anaweza kupindiliwa kijeshi ama?
Unamaanisha safisha ya kuwaua si ndioUjumbe huu niwafasihi zaidi...Tena fasihi Pana ya kuunganisha dot..hivi katika Ile safisha nadhani huyo ndio kabakia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hahahaha kwanini mkuu?Siku hizi umekuwa na akili kama za dada zako Kule Magugu,Endasaki,Kateshi..n.k hawana funguo za makomeo basi wanagawa tu.
Mabeyo hawezi kufanya huo ujingaNdio wanamdrive mama.Ishu ya Mbowe mama kaipokea kishingo upande sio yeye
Kweli aseeHuenda mwandishi ana tip fulani ambayo hatuijui anaamua kutumia fasihi kufikisha ujumbe,asipuuzwe
Mbele ya maslai kwann asifanyeMabeyo hawezi kufanya huo ujinga
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.
Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.
Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Naona hatujamuelewa mleta mada anataka nini haswa, ni makosa tumeyafanya mwanzoni kabisa.Sasa tumuulizeni.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Acha ujinga wewe, ingekuwa kweli mama asingekalia hicho kiti! Mabeyo made her!!!Mabeyo Sukuma gang
Siku ile bibi ushungi asingeapishwa weweMbele ya maslai kwann asifanye
Na ni Katibu wa hiyo kamati!CDF Mabeyo kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama Kila siku analipoti kwa Rais pia yupo kwenye kamati ya Baraza la Usalama la Taifa hivo basi Kila siku lazima aongee na Rais kumpa briefing za nchi kiulinzi na kiusalama.
Exactly, uko sahihi kabisaITIFAKI IZINGATIWE: CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi tu. Vyombo vya usalama vina wakuu wao ambao huwajibika kwa C IN C.
Acha ujinga wewe, ingekuwa kweli mama asingekalia hicho kiti! Mabeyo made her!!!
Ni maoni yake jamani,mwacheni atoe ya Moyonj ili mradi havunji Sheria za nchi.Mkuu wa majeshi apige picha akinywa chai na amiri jeshi mkuu ili mwanajamii forum afurahi[emoji3] Tanzania.......
Unamaanisha tusimchalange. Tumsapoti tu maoni yake.Ni maoni yake jamani,mwacheni atoe ya Moyonj ili mradi havunji Sheria za nchi.
Acha apuuzwe tunataka adventure 😆Huenda mwandishi ana tip fulani ambayo hatuijui anaamua kutumia fasihi kufikisha ujumbe,asipuuzwe