Ushauri: Rais Samia akae na Jenerali Mabeyo wanywe chai na kupiga picha

Ushauri: Rais Samia akae na Jenerali Mabeyo wanywe chai na kupiga picha

Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.

Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.

Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Labda wameshamuwekea sumu kama wale watu wa karibu wengine na Magu,kama aliweza kumuwekea Sumu Lowasa anashindwa nini kwa hawa wengine😂😂😂
 
Uzi wako Una kaukakasi Frani hivi......................lakini (yajayo yanafrahisha
 
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.

Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.

Ukimya wake unanistua!. Siku njema.

Mabeyo Sukuma gang
 
Naona hatujamuelewa mleta mada anataka nini haswa, ni makosa tumeyafanya mwanzoni kabisa.Sasa tumuulizeni.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Mleta mada alikuwwa analeta ujumbe mzito akiuelekeza kwa mama ; lakini inaelekea wengi hatujauelewa ujumbe huo!!! Kumbuka aliamza na malalamiko ya watu kuhusu [ inflation] kupanda bei kwa kasi kwa bidhaa nyingi!!
 
CDF Mabeyo kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama Kila siku analipoti kwa Rais pia yupo kwenye kamati ya Baraza la Usalama la Taifa hivo basi Kila siku lazima aongee na Rais kumpa briefing za nchi kiulinzi na kiusalama.
Na ni Katibu wa hiyo kamati!
 
Back
Top Bottom