Ushauri: Rais Samia akae na Jenerali Mabeyo wanywe chai na kupiga picha

Ushauri: Rais Samia akae na Jenerali Mabeyo wanywe chai na kupiga picha

Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.

Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.

Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Like kipindi Cha Viongozi wote was Majeshi kubebwa Hadi kwenye mikutano ya kisiasa kim3pita
 
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.

Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.

Ukimya wake unanistua!. Siku njema.

Ha ha ha…wachache sana watakuelewa
 
Mabeyo yupo ila hili la Komandoo wake kuuawa na polisiccm linamkera sana na Serikali imepata kigugumizi kumfahamisha wapi alipo Moses Lijenje.

Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.

Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.

Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
 
kweli democracy kwa mtu ambaye hajui lolote ni mzigo mkubwa kwake. jamaa huko serious aise unamchukulia poa chief defense Force aise!!! Yule ni mwanajeshi kiongozi ,hawanaga blaa blaaa, kwanza maongezi yao Niya code ,1249xj5 over!!.ss wataongea nn na mama ,jamaa muda wote wako cool& serious ,hayo mazngra mama hajayazoea si kumpa pressure tu bule,muacheni mama amalizie nngwe yake jmn!!
 
Bado siku 30 umuone kwenye gari la pamoja uhuru dsm.
 
Hao hapo
tapatalk_1636997118139.jpeg
 
Hahaha..mleta mada alikua anataka picha ya pamoja hio apo juu imepatikana..
 
Back
Top Bottom