mkamanga original
JF-Expert Member
- Jan 21, 2015
- 637
- 663
Tangu upite uteuzi wa Wakuu wa Mikoa hakuna kinachofanyika huku kwenye Halnashauri.
Kauri yako uliyoitoa wakati unawaapisha wakuu wa mikoa ya kwamba " zege halilali ,hii itaenda hadi chini" umesababisha viongozi hao ku-relux na kutofanya kazi.
Wapo wanaosema mama unaingiza watu wako ,hivyo unaondoa ulio wakuta wota kwenye nafasi hizo .Hii imesababisha watu kukata tamaa na kuacha kufanya kazi za usimamizi wa miradi, mapato na shughuli nyingine za kila Siku
Tangu uteuzi wa wakuu wa mikoa, kutendo cha kuingiza safu Mpya zaidi ya 50% imewaogopesha sana .
Kinachoweza kufanyika kwa sasa ili kuzinusuru hizi Halmashauri ni kufanya uteuzi wa nafasi hizo, ili kazi ziendelee. Huku mambo mengi yamesimama miradi ya vituo vya Afya ,Sequip zahanati ambazo zimepokea fedha mwaka uliopita ni kama zimesahaulika na hazijakamilika.
Kwa upande wa Mazahanati ambayo umeyapa fedha mwaka uliopita ndio kabisa ni kama yametekelezwa nchi nzima.
Fedha nyingi unashusha huku chini lakini zimejazana tu kwenye maakaunt ya Halmashauri ni kama wanakuhujumu kwa makusudi.
Spidi ya utendaji kazi na morari kwa viongozi hao ni kama imepungua mno, inahitajika kuingiza nguvu mpya itakayoanza upya.
Kauri yako uliyoitoa wakati unawaapisha wakuu wa mikoa ya kwamba " zege halilali ,hii itaenda hadi chini" umesababisha viongozi hao ku-relux na kutofanya kazi.
Wapo wanaosema mama unaingiza watu wako ,hivyo unaondoa ulio wakuta wota kwenye nafasi hizo .Hii imesababisha watu kukata tamaa na kuacha kufanya kazi za usimamizi wa miradi, mapato na shughuli nyingine za kila Siku
Tangu uteuzi wa wakuu wa mikoa, kutendo cha kuingiza safu Mpya zaidi ya 50% imewaogopesha sana .
Kinachoweza kufanyika kwa sasa ili kuzinusuru hizi Halmashauri ni kufanya uteuzi wa nafasi hizo, ili kazi ziendelee. Huku mambo mengi yamesimama miradi ya vituo vya Afya ,Sequip zahanati ambazo zimepokea fedha mwaka uliopita ni kama zimesahaulika na hazijakamilika.
Kwa upande wa Mazahanati ambayo umeyapa fedha mwaka uliopita ndio kabisa ni kama yametekelezwa nchi nzima.
Fedha nyingi unashusha huku chini lakini zimejazana tu kwenye maakaunt ya Halmashauri ni kama wanakuhujumu kwa makusudi.
Spidi ya utendaji kazi na morari kwa viongozi hao ni kama imepungua mno, inahitajika kuingiza nguvu mpya itakayoanza upya.